Madhila ya introvents

Madhila ya introvents

What is personality? Is it not conditioned?
Personality is the unique, relatively stable pattern of thoughts, feelings, and behaviors that defines how you interact with the world.

You are entirely right to question if it is conditioned.
To a massive extent, personality is highly conditioned.
However, psychological science reveals that it is not only conditioned...! it is a dynamic mix of biological programming and environmental conditioning.
 
Personality is the unique, relatively stable pattern of thoughts, feelings, and behaviors that defines how you interact with the world.

You are entirely right to question if it is conditioned.
To a massive extent, personality is highly conditioned.
However, psychological science reveals that it is not only conditioned...! it is a dynamic mix of biological programming and environmental conditioning.
Got it sir.
 
Got it sir.
03dbe83e-e7d6-4572-a934-39958738337f.jpeg
 
Swala ni moja tu una tafuta mnaendana unaenda nae simple tu maisha mafupi tufurahie
Urefu au ufupi wa maisha unategemea sana mtazamo, matendo, na jinsi mtu anavyotumia muda wake kila siku.
Watu wengi husema "maisha ni mafupi" wanapotaka kuhalalisha maamuzi ya haraka au starehe, lakini ukweli ni kwamba maisha yanaweza kuwa marefu na yenye nafasi ya kutosha ikiwa yataishiwa kwa malengo na mipango thabiti.
 
Urefu au ufupi wa maisha unategemea sana mtazamo, matendo, na jinsi mtu anavyotumia muda wake kila siku.
Watu wengi husema "maisha ni mafupi" wanapotaka kuhalalisha maamuzi ya haraka au starehe, lakini ukweli ni kwamba maisha yanaweza kuwa marefu na yenye nafasi ya kutosha ikiwa yataishiwa kwa malengo na mipango thabiti.
Sawa sawa
 
Mkuu! Nimewahi kusikia majority ya hawa watu wana damu group O?
Kuna ukweli wo wote?
 
Sometime introvert sometimes extrovert.
MIMI NI NINANI!?
Omnivert: Huyu ana tabia za extremes zote mbili kulingana na siku au mood yake.
Siku moja anaweza kuwa na nguvu nyingi sana za kijamii (extrovert sana), na siku inayofuata akajifungia ndani kabisa na hataki kuona mtu (introvert sana).
 
Mkuu! Nimewahi kusikia majority ya hawa watu wana damu group O?
Kuna ukweli wo wote?
Hakuna ukweli wowote wa kisayansi unaothibitisha kuwa idadi kubwa ya watu wenye tabia ya utulivu (introverts) wana kundi la damu la group O. Huu ni uvumi na imani ya kijamii ambayo haina ushahidi wa kitabibu.
 
Wewe ni mimi 😅
Mood yangu anytime ina change

Ndio maana naonaga ni bora zaidi kua lonely
Hali ya mabadiliko ya haraka ya hisia (mood swings) haitofautishi kama wewe ni introvert au extrovert, kwani introverts na extroverts wote wanaweza kupitia hali hii. Kipengele cha kuwa introvert au extrovert kinahusu zaidi wapi unapata nguvu (energy)..!!! introverts wanapata nguvu wakiwa peke yao, na extroverts wanapata nguvu wakiwa na watu.
 
Hali ya mabadiliko ya haraka ya hisia (mood swings) haitofautishi kama wewe ni introvert au extrovert, kwani introverts na extroverts wote wanaweza kupitia hali hii. Kipengele cha kuwa introvert au extrovert kinahusu zaidi wapi unapata nguvu (energy)..!!! introverts wanapata nguvu wakiwa peke yao, na extroverts wanapata nguvu wakiwa na watu.
Hata sijui niko wapi
But kua mwenyewe ni chaguo langu bora zaidi sipendi kelele

Nikiona dalili za kelele na kukosa amani hua nachagua kua mwenyewe hata kama kwa maumivu
 
Yeah na childhood trauma zinachangia mtu ambaye hakuzaliwa introvert ajikute anakuwa. Anaanza kuwithdrawal na kujikuta muda mwingi anapenda kuwa mwenyewe. So kuna waliozaliwa introvert na kuna waliodevelop hiyo personality kutokana na mazingira.
Hapa ungefanya Reference ya N'golo Kante....
Yule pamoja na kuwa Introvert nadhani pia ana Childhood trauma inamsumbua.
 
Hata sijui niko wapi
But kua mwenyewe ni chaguo langu bora zaidi sipendi kelele

Nikiona dalili za kelele na kukosa amani hua nachagua kua mwenyewe hata kama kwa maumivu
Msongo wa Mawazo (Stress)..!! Kazi, masomo, au changamoto za maisha huchosha ubongo na kusababisha hasira au ghafla kukosa amani.

Ukosefu wa Usingizi..!! Kulala masaa machache kunaathiri uwezo wa ubongo kudhibiti hisia zako siku inayofuata..!!!
 
Msongo wa Mawazo (Stress)..!! Kazi, masomo, au changamoto za maisha huchosha ubongo na kusababisha hasira au ghafla kukosa amani.
Hii quote yako na nilichondika ni mbingu na ardhi
Ukosefu wa Usingizi..!! Kulala masaa machache kunaathiri uwezo wa ubongo kudhibiti hisia zako siku inayofuata..!!!
Ohooo sawa
 
Daaah kumbe mimi ni introvert, tabia zangu hizo zote.

Napenda kukaa peke angu na kuzoeana na mtu itachukua mda sana.

Sio mwongeaji ila tukizoeana huwa nakuwa mwongeaj angalau.


Inanipelekeaga kuwa domo zege ila nashindwa kujizuia.

Na Kufika Kutongoza hadi mtu nimemjua nje ndani na nmemtathimin kama ataendana nami.

Shida itakuja uliempania tena anaona kama haupo siliazi.
Sijui huwa wananichukuliaje sijui upole wangu.

Ila huwa nataman niwe na mke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom