Madhila ya Afrika na vinasaba

Madhila ya Afrika na vinasaba

Sawa kabisa mkuu.kwa kuongezea twapaswa kufahamu kuwa genius wa hesabu hatakuwa genius Kwenye mziki.Genius wa udakitari hatakuwa genius katika somo la uchumi.kipimo cha IQ kinamaanisha kwa mfano huo kuwa WaPo watu wenye uwezo wa Vyote hivyo kwa pamoja na huyo wanampa asilimia mia.tujiulize Je ni kweli mtu wa aina hiyo yupo?ukweli ni kwamba hakuna.pia maswali yanayoulizwa mengi yanahusiana na utamaduni wa sehemu husika.pia malezi
,elimu na mengineyo mengi.kwa kifupi kipimo hicho ni cha kufikirika hakina Uhalisia wowote.
 
Sawa kabisa mkuu.kwa kuongezea twapaswa kufahamu kuwa genius wa hesabu hatakuwa genius Kwenye mziki.Genius wa udakitari hatakuwa genius katika somo la uchumi.kipimo cha IQ kinamaanisha kwa mfano huo kuwa WaPo watu wenye uwezo wa Vyote hivyo kwa pamoja na huyo wanampa asilimia mia.tujiulize Je ni kweli mtu wa aina hiyo yupo?ukweli ni kwamba hakuna.pia maswali yanayoulizwa mengi yanahusiana na utamaduni wa sehemu husika.pia malezi
,elimu na mengineyo mengi.kwa kifupi kipimo hicho ni cha kufikirika hakina Uhalisia wowote.
Mamitihani mengi ya Kimagharibi yako hivyo. Nafanya mtihani wa GRE eti swali linauliza "What and where Kentucky?" Nilitaka kujibu Kentucky Fried Chicken sema tu ilikuwa ni multiple choice. Yaani mtihani mzima umekaa kikwao kwao tu na kama hukufanya mazoezi ya kutosha basi hata 50 hupati halafu wanaishia kukuona mjinga bure tu. IQ hali kadhalika maswali mengi bila kuwa kwenye mfumo wa Kimarekani au Ulaya aisee hupati kitu hasa ukizingatia kuwa ni vurugu mechi tu.
 
IQ is a very useless measure...binadamu tuna uwezo tofauti ktk kila jambo...huwezi mchukua mbuzi na samaki ukawashindanisha kuogelea kwa kutumia kizio kimoja,samaki atashinda tu,ukiwashindanisha kutoa maziwa mbuzi atashinda tu....IQ ndio inashindanisha wanadamu built for different geniuses kwa kutumia kizio kimoja....huu ni ukichaa kiwango cha lami
huu mfano wako ni Hing end useless.... kumbuka mbuzi na samaki ni viumbe viwili tofauti...
 
Tusiwe na mizuka au jazba wakuu tutulie tusikurupuke, tuangalie na kujadili sababu ya nchi za Afrika kuwa nyuma katika kilimo, uvuvi, viwanda, mifugo, teknolojia, sayansi, viwanda vya kuunda zana n.k Je sababu ni mazingira au vinasaba?

Na siyo kwa kuwa mmoja wetu amefanikiwa kupata kazi katika shirika la kimataifa basi ina maana katika maeneo yote Afrika tupo mbele au tunaongoza au tupo bega kwa bega na mataifa ya dunia ya kwanza.

Kutambua wapi tulipoachwa na boti la kwenda katika safari ya uvumbuzi wa sayansi, teknolojia, elimu, afya, viwanda, kilimo cha kisasa n.k itatusaidia kujinasua toka nafasi ya mwisho na kwenda kukalia nafasi za mbele.
In your perspective unadhani wapi tumekwama??..
 
Kama IQ zawa Afrika nikidogo kwa mojibu wa (mazungu) tujiulize nikwani wana sema hiviyo?? Kwanza tuangalie wana sema (MTU mweusi au??) Afrika kama eneo ??

Kama ni afrika kama eneo tujiulize jee nikwanini waafrika walio bahatika kupenya nakwenda huko kwao wawe na IQ kubwa ??.Jibu ni Afrika hakuna watu wenye IQ ndogo Bali watu wenye Elimu ndogo.

Lakini dukuduku langu bado nikwamba jee wametumia vigezo gani kutu tukana ?? Jee mtu kuwa na maisha bora (tena bora kwa mtazamo waki binadamu) ndio kuwa na IQ kubwa ??.

Basi namimi nasema wao ndio wenye IQ ndogo kwa vigezo vyaki mungu pale alipo sema ''wenye akili na hekima ni wale wanao niabudu Mimi '' kumbuka afrika ndio tuna mwabudu mungu zaidi.

Kama IQ zawa Afrika nikidogo kwa mojibu wa (mazungu) tujiulize nikwani wana sema hiviyo?? Kwanza tuangalie wana sema (MTU mweusi au??) Afrika kama eneo ??

Kama ni afrika kama eneo tujiulize jee nikwanini waafrika walio bahatika kupenya nakwenda huko kwao wawe na IQ kubwa ??.Jibu ni Afrika hakuna watu wenye IQ ndogo Bali watu wenye Elimu ndogo.

Lakini dukuduku langu bado nikwamba jee wametumia vigezo gani kutu tukana ?? Jee mtu kuwa na maisha bora (tena bora kwa mtazamo waki binadamu) ndio kuwa na IQ kubwa ??.

Basi namimi nasema wao ndio wenye IQ ndogo kwa vigezo vyaki mungu pale alipo sema ''wenye akili na hekima ni wale wanao niabudu Mimi '' kumbuka afrika ndio tuna mwabudu mungu zaidi.
You might be right but let be honest the ending sucks....
 
Swali la kujiuliza ni kwanini binadamu anaishi duniani...?
Wao wenye IQ kubwa ndo wanajenga viwanda vinatuharibia mazingira,mabomu na siraha wanazopiga zinaharibu mazingira,magonjwa wanayotengeneza ndo kuwa na IQ kubwa..?
kutengeneza vitu feki ambavyo wanajua vinamadhara ndo kuwa na IQ kubwa..?
kuwa na ubaguzi ndo kuwa na IQ kubwa..?
kunyonya rasilimali za mwafrika ndo kuwa na IQ kubwa ama dini walizoleta afrika ndo wamekuwa na IQ kubwa...?
Wanakuja..
 
AS IT WAS IN THE BEGINNING, SO SHALL BE AT THE END. BLACKS ARE THE FITTEST OF THE FITTEST. REMEMBER ONLY THE FITTEST SHALL SURVIVE.

NI UJINGA KUFANANISHA AKILI YA MTU MWEUSI NA MZUNGU KATIKA KUYAMUDU MAZINGIRA YAKE. WAZUNGU NI MAPARASITE. WANAISHI KWA KUNYONYA VIUMBE WENGINE. HAWANA UWEZO WAKUJIENDESHA WENYEWE NA HUWEZA KUSURVIVE KWA KUCREATE CHAOS, MISCHIEF, WICKED THEORIES, CREATING LIES FEAR, WAR AND CONSPIRANCIES.

BILA UWEPO WA HAYO HANA UMUHIMU WA KUWAPO. HE/SHE IS A DESTROYER OF LIFE. HE/SHE IS DYNAMIC OPPOSITE OF BLACK (LIFE GIVER).

HIVYO IQ NI WICKED THEORIES ZAKE KATIKA KUHAKALISHA UHARAMIA WAKE. WEWE UTAWEZAJE KUWADEGRADE WATU WALIOKUNYANYUA KATIKA ULIMWENGU WA USTAARABU? HUKUWA NA LUGHA UMEPEWA, HUKUJUA KUZIKA WAFU WAKO UKAFUNDISHWA, HUKUJUA KUJENGA LAKINI WEUSI WAKAKUFUNDISHA. HUKUJUA KUSAFIRI MAJINI, WEUSI WAKAKUONYESHA. HUKUWA UNA HERUFI KWA VILE HUKUWA NA KUGHA. UNAWEZAJE KUSIMAMA NA KUONGEA UTUMBO KAMA HUO WA IQ?

HAYO MACHO YAO TUU TOSHA KUWA KIELELEZO CHA AKILI NDOGO ILIOJAZWA HILA NA UPOTOFU. BLUE RECESSIVE EYES HUTAFASIRI MAMBO NI NEGATIVITY TU. BLOOD CELLS ZAO ZIMEUMBWA NA SULPHUR KAMA MBWA, WATAFANANAJE NA SIE TULIE WATU KAMILI?
Hahaha mbio za sakafuni...
 
Mazingira rahisi ya mwafrika ndio yamedumaza ufahamu wa mwafrika.
 
Hakuna kitu kama IQ, iyo ni conspirancy imewekwa ikashadadiwa ili kuhalalisha ubaguzi, haswa kwa mtu mweusi. Mtu mweusi ndio mwanzilishi wa mahesabu, maandishi, irrigation, agriculture, hunting, architecture etc. Hiyo iq yake imekuwaje ikawa ni the lowest, na tulivo mbulula kila kinachosemwa na wazungu tunachukua na kuamini na kusambaza ujumbe, ofcoz ni kwa sababu mtu anaefanana na Mungu ndio kasema, kwa iyo hakuna kuuliza. Stupid.

Hakuna mtu anaeweza kupima uwezo wa kufikiri wa mwanadamu. Mtu aje hapa aelezee wanapimaje iyo iq
Mkuu hauko serious kabisa.

Umasiki na hali ilivyo afrika sasa hivi hauhitaji IQ kusema kuna kotu hakipo sawa kwa africans.
 
Back
Top Bottom