great vision
Senior Member
- Jul 1, 2011
- 113
- 67
leo jioni hii nilikuwa ninaangalia TBC1, wataalamu wa Tanesco, walikuwa wanaelimisha wananchi juu ya madhara ya kujenga au kufanya shughuli zozote chini ya nyaya za umeme mkubwa, sasa iweje wakakubali umeme upite katika kanisa la Kakobe? au ni hujuma?