Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Chukueni tahadhari!
hilo ni gazeti gani?View attachment 375048
Ati chips ni chakula hatari na watumiaji wake wamo kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa ya moyo, Figo n.k. Wapika chips nao wana tabia ya kurudia kupikia mafuta yale yale tena na tena na hivyo kuongeza hatari zaidi. Tahadhari!
Wasije wakahama na chips zao!Magufuli amesha sema wa Dar wahamie Dodoma
Ikiwa hivyo, itabidi wapigwe tu maana hamna namnaWasije wakahama na chips zao!
Kwahiyo mkikataa mchele viazi nk mtakula lamiSasa tukiacha kula hiyo kitu si mtakufa njaa na familia zenu huko kijijini?viazi mnavyolima mtamuuzia nani?mtushukuru sana nyie watu pori,na siku tukisema hatutaki mchele wenu,viaz vyenu na mihogo yenu,tumewamaliza hakika.
tunampa tenda bakhresa na mkapa waagize njeKwahiyo mkikataa mchele viazi nk mtakula lami
Dona harage hamliwezi
ulitaka tuanzishe shindano la kula mlundikano wa ugali asubuhi?then mbona afya zenu ziko ovyo sana kulinganisha na hao wa chips?walivyo wabishi wameanzisha na shindano la chipsi mayai kabisa
Huyo anajifaragua tu. Eti asile mchele, viazi na vitu vingine atakula nini? Sumu za kwenye makopo kutoka Afrika Kusini kwenye masupamaketi uchwara? Na wangapi wanaweza kumudu hizo sumu za supamaketi? Anachekesha!Kwahiyo mkikataa mchele viazi nk mtakula lami
Dona harage hamliwezi
Hehehehe dahSasa tukiacha kula hiyo kitu si mtakufa njaa na familia zenu huko kijijini?viazi mnavyolima mtamuuzia nani?mtushukuru sana nyie watu pori,na siku tukisema hatutaki mchele wenu,viaz vyenu na mihogo yenu,tumewamaliza hakika.
Hehehehe dah nyie watu banawalivyo wabishi wameanzisha na shindano la chipsi mayai kabisa
sasa sijui upo kundi gani?ulitaka tuanzishe shindano la kula mlundikano wa ugali asubuhi?then mbona afya zenu ziko ovyo sana kulinganisha na hao wa chips?
View attachment 375048
Chukueni tahadhari!
Na mkiwagonga hawasikii chochote wanarudi Igunga kila weekend. Kazi Dar mapenzi mikoaniDada zenu wakitoka huko mashambani wanahongwa viazi hivyo hivyo wanavyolima tunawagonga mpododo
Nyie MNA afya gani? Vitambi vya chipsi? Soma gazeti hilo mada ikuingie.ulitaka tuanzishe shindano la kula mlundikano wa ugali asubuhi?then mbona afya zenu ziko ovyo sana kulinganisha na hao wa chips?