Madhara Ya Mapenzi Ya Aina Hii,.

Madhara Ya Mapenzi Ya Aina Hii,.

acha uboya,usipoteze hyo fursa,watu wanatafta sana fursa za namna hyo,unataka uendelee kupata kama yule wa kwanza sio?we unaonekana bado unampenda yule wa kwanza ambae hakupend,pia bado unajipa matumain kua utarudiana nae,haya bwana,kuna mtu kakwambia mkataa pema...

ahsante mkuu,.


Nimeupokea ushauri wako kwa mikono miwili!!
 

watu wengine bana
yani umepata mdada anaefaa kua
mke ati hujampenda,ulimrubuni ili?
atapata anaejua nini maana ya mke bora
na si bora mke,muweke wazi yaishe, usizidi kumpotezea mda!!
 
We mbulula ulipokuwa unamtongoza hukujia kwamba humpendi acha ushamba wewe. Tatizo linalokusumbua ni kwamba unatafuta mwanamke ambaye yuko sawa Na Yule aliekuacha( wewe hukumuacha bali wewe) sasa ulipomtokea huyo ulikua atakuwa sawa sawa Na Yule cause ni marafiki kama unataka mke ni huyo kama unataka Demu nenda kimboka utapata
 
We mbulula ulipokuwa unamtongoza hukujia kwamba humpendi acha ushamba wewe. Tatizo linalokusumbua ni kwamba unatafuta mwanamke ambaye yuko sawa Na Yule aliekuacha( wewe hukumuacha bali wewe) sasa ulipomtokea huyo ulikua atakuwa sawa sawa Na Yule cause ni marafiki kama unataka mke ni huyo kama unataka Demu nenda kimboka utapata

mkuu nimeupokea ushauri wako ila jazba nyingi!!!
 
Nitacomment ukifika 28 years. sawa???
 
Last edited by a moderator:
kama si chaguo lako mpaka hapo mlipofikia ulikuwa hujitambui?au unajifanya waweza sana kuchezea hisia za watu na kuna siku zako zitachezewa

mbona unanitisha badala ya kunishauri tena mkuu,..
 
Kwa nini huwi mkweli? Kisa cha kutuzungusha mpaka Mabwepande kumbe twaenda hapo Kawe ni nini? Nilimpenda sana msichana fulani, kanikataa nikampata rafikiye nikamtongoza kaniambia aliwahi kubakwa zamani lakini hana ukimwi.
SEMA SHIDA YAKO Tukujibu. Wewe unaonesha ni kinda sana, na haya mambo ya kikubwa kwako bado saana hujayafikia. Labda ndo maana yule wa kwanza aliku shit. Aliuona mapema utoto wako. Huyu wa sasa, wala usimzungushe saana, mwambie live mapema tu kwamba unatafuta aliye bikra ukatoboe mwenyewe baasi. Hatakurudia wala hatakulaumu
 
Kwa nini huwi mkweli? Kisa cha kutuzungusha mpaka Mabwepande kumbe twaenda hapo Kawe ni nini? Nilimpenda sana msichana fulani, kanikataa nikampata rafikiye nikamtongoza kaniambia aliwahi kubakwa zamani lakini hana ukimwi.
SEMA SHIDA YAKO Tukujibu. Wewe unaonesha ni kinda sana, na haya mambo ya kikubwa kwako bado saana hujayafikia. Labda ndo maana yule wa kwanza aliku shit. Aliuona mapema utoto wako. Huyu wa sasa, wala usimzungushe saana, mwambie live mapema tu kwamba unatafuta aliye bikra ukatoboe mwenyewe baasi. Hatakurudia wala hatakulaumu

mkuu mbona mada ipo clear kabisa,.

Ni wapi umetatizika??
 
hayanichanganyi mkuu sema natafuta njia ambayo nitamuacha asiumie,...

Angekuwa dada yako ndo anapangiwa kuachwa ungejiskiaje? wakati unataka kumgegeda hukujua kama hakufai? Tuache dhambi za namna hii, kamamtu huna mpango naye usimuingize katika vishawishi. KUMBUKA, MUNGU HUWASIKILIZA WALIAO, NAYE ATAYAFUTA MACHOZI YAO. OLE WAO WAWASABABISHAO WENZAO KUTOA MACHOZI, MAANA ADHABU YAO NI KUBWA. Nakushauri ujifunze namna ya kumpenda, tena una bahati anapenda maendeleo, utaangukia pua vinginevyo. Ni ushauri tu, si amri
 
We mbulula ulipokuwa unamtongoza hukujia kwamba humpendi acha ushamba wewe. Tatizo linalokusumbua ni kwamba unatafuta mwanamke ambaye yuko sawa Na Yule aliekuacha( wewe hukumuacha bali wewe) sasa ulipomtokea huyo ulikua atakuwa sawa sawa Na Yule cause ni marafiki kama unataka mke ni huyo kama unataka Demu nenda kimboka utapata
USIMLAUMU, INAONEKANA BADO NI UNDER 18. CHEKI APA,
Join Date : 15th September 2013
Posts : 672

Rep Power : 445

Likes Received
98

Likes Given
0
 
soma wewe dogo acha ungese wa mapenzi mtaana life tight,hakuna ajira hakuna hela,jipange kujiajiri kama unakaribia kumaliza chuo na sio kujitia wewe ndio mapenzi yamekuwa kila kitu kwako.
 
soma wewe dogo acha ungese wa mapenzi mtaana life tight,hakuna ajira hakuna hela,jipange kujiajiri kama unakaribia kumaliza chuo na sio kujitia wewe ndio mapenzi yamekuwa kila kitu kwako.

mkuu kazi siyo tatizo kwangu,..
 
Back
Top Bottom