Madhara ya kutumia machine kunyoa sehemu za siri

Madhara ya kutumia machine kunyoa sehemu za siri

Kama mervuzi yako ni magumu kama magugu hapo lazima nguvu zipungue maana mashine utakuwa unaikandamiza ili ifukue hadi mizizi...
 
Wakuu hii ni jumapili, tusichoshane!
Hope sio peke yangu niyewahi kuambiwa kuwa kuna madhara kutumia mashine ya umeme kunyolea ''sehemu za siri''.
Kwamba mashine hizi zinapunguza nguvu za kiume.
Tunaidiane ku-clear doubt hii, maana nguvu za kiume ni bidhaa adimu sana siku hizi. Tunguvu twangu tuchache tusijepotea kabisa nikaanza kuleta siasa wakati wa kugegeda

Aina hizi za machine ndio inayosemekana ni mbaya Laser machine ImageUploadedByJamiiForums1397408247.761727.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom