Lilian Masilago
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 246
- 120
Sio ya moto kama ya kunyonyoa kuku...Ya vuguvugu yanatosha kuondoa kile kibaridi hasa asubuhi
asante sana mkuu hippocratessocrates kwa maelezo yako... samahani kwa maswali mengi...
Je kuna madhara gani nikitumia maji ya moto kiasi chenye joto kali lakini sio kuunguza kunawia sehemu nyeti???
yaani, maji ya baridi ni mwiko kwangu kama ilivyokuwa kwenye azimio la arusha 'rushwa ni mwiko kwangu'
Me huwa siwaelewi hawa viumbe,unakuta jua ni kali na joto jingi lakn bado utamkuta anachemsha maji ya kuoga..tatizo huwa ni nin wakuu?