Madhara ya kunyoa nywele mtoto mchanga

Madhara ya kunyoa nywele mtoto mchanga

IvyAngel

Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
5
Reaction score
4
Hi, kwa wenye watoto au wataalamu wa maswala haya,please ningeomba kujua kama kuna madhara yeyote nisipo mnyoa nywele za utotoni mtoto wangu,amezaliwa na nywele nyingi na ningehitaji nisimnyoe nianze kuzikuza kuanzia sasa.Ushauri kwa anaefahamu please.
 
hi, kwa wenye watoto au wataalam wa maswala haya,please ningeomba kujua kama kuna madhara yeyote nisipo mnyoa nywele za utotoni mtoto wangu,amezaliwa na nywele nyingi na ningehitaji nisimnyoe nianze kuzikuza kuanzia sasa.ushauri kwa anaefahamu please.

imani yako tu,nywele hazina madhara kiafya
 
hi, kwa wenye watoto au wataalam wa maswala haya,please ningeomba kujua kama kuna madhara yeyote nisipo mnyoa nywele za utotoni mtoto wangu,amezaliwa na nywele nyingi na ningehitaji nisimnyoe nianze kuzikuza kuanzia sasa.ushauri kwa anaefahamu please.
Hamna tatizo lolote.
 
hi, kwa wenye watoto au wataalam wa maswala haya,please ningeomba kujua kama kuna madhara yeyote nisipo mnyoa nywele za utotoni mtoto wangu,amezaliwa na nywele nyingi na ningehitaji nisimnyoe nianze kuzikuza kuanzia sasa.ushauri kwa anaefahamu please.

Na watoto watatu sasa sijawa kuwanyoa utotoni ingawa shinikizo lilikuwepo na kuambiwa sio vizuri, lakin mpaka leo nimakubwa na hakuna shida.

Nimtazamo tu wa kifamilia na kooo mbalimbali lakin hakuna shida muache tu.
 
Kunyoa nywele hakuna uhusiana na mambo ya ushirikina, ninavyojua nywele za mtoto zinanyolewa ili zikue pamoja maana nywele za watoto kawaida huwa zinaota kwa kupishana, huwa kuna kiround fulani hakina nywele. Hata kama usipomnyoa hakuna tatizo.
 
Kwa mtt wa kike yaweza kuwa sawa japo ngozi yake ya ndani(kichwan) anaweza kuwapata magonjwa ya ngozi na kupelekea kuanza kutumia sabuni za chemical ambazo n hatal kwa mtt..
Ila wa kiume ni vema akanyolewa incase unataka kumfanya awe rastman!

Msingi wa yote ni kutengeneza kanuni ya kiafya kwa mwili na ngozi ya mtt,
Tatzo hiki kizazi tunataka kufanya majarbio hata ktk vitu na mambo ambayo hayahitaji majaribio..
 
Angalia nywele za mwanao. Kama zimeota moja moja kama mpunga, ama ziko weak; basi ukinyoa ataota nywele nzuri zaidi. Kama ana kipilipili, utamtesa tu na kuchana ni bora umuache. Ila binafsi napinga dhana ya kumsuka mtoto, naona unamsumbua tu kabla hajaanza kuhangaika na ya dunia. Ila kama unamuweka afro tu na nywele zinachanika bila kuhitaji dawa, suit yourself.
 
Hakuna tafiti zilizowahi kufanyika na kuonesha kuwa kuna madhara ukiacha kumnyoa mtoto nywele za utotoni

Ila baadhi ya mila na desturi za makabila hapa Tanzania zinasisitiza kunyoa vichanga mara tu wanapofikisha arobaini.
 
Inasemekana atakua na nywele za kipilipili. Sawa na kuwa na kibamia akitahiriwa bado mdogo.
 
Hi, kwa wenye watoto au wataalamu wa maswala haya,please ningeomba kujua kama kuna madhara yeyote nisipo mnyoa nywele za utotoni mtoto wangu,amezaliwa na nywele nyingi na ningehitaji nisimnyoe nianze kuzikuza kuanzia sasa.Ushauri kwa anaefahamu please.
Mi mwenyewe sitamnyoa mtt wangu nywele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa kwangu mapacha Wana miaka miwili Yani Wana nywele balaa ..sema na Mimi Nina khasili ya nywele pia.
Pia sijawahi kuwanyoa watoto wangu.

Juzi nimepata mtoto wa tatu, na huyu hatonyolewa Kama nduguze.
 
Back
Top Bottom