manizzle
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 3,421
- 4,323
Sehemu ya nyuma ni maalum kwa kutolea uchafu( output)sasa ukiigeuza kuwa ni input lazima upate madhara makubwa sana! Hakuna dini yoyote inayo ruhusu uchafu huo labda dini za kishetani
Hapa ndo mnapokosea kusema sehemu ya nyuma ni ya kutolea uchafu. Vp sehemu ya mbele mkojo sio uchafu? Tafuteni namna nyingine ya kuwashawishi watu lakini sio kwa hoja nyepesi kama hivi. Kama ni kutoa uchafu hata papuchi inatoa mkojo