Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Siku za Jumatatu Huwa napenda sana kuwahi kazini kwasababu ni siku ambayo kama ukichelewa kidogo foleni inakuwa kero kuliko siku nyingine za kawaida.
Kuna Eneo Moja mitaa ya Masaki kuna Njia panda ambapo nimekuta Nazi imevunjwa katikati ya hizo njia nne na nikaikanyaga. Hivi kuna madhara yoyote nitakayopata?
cc
Mshana Jr
MziziMkavu
LIKUD
mchawi mweupe mchawi
Mganga wa Jadi
MGANGA MCHAWI
Kuna Eneo Moja mitaa ya Masaki kuna Njia panda ambapo nimekuta Nazi imevunjwa katikati ya hizo njia nne na nikaikanyaga. Hivi kuna madhara yoyote nitakayopata?
cc
Mshana Jr
MziziMkavu
LIKUD
mchawi mweupe mchawi
Mganga wa Jadi
MGANGA MCHAWI