Wazee wa short time tunaandikaje za ukweliKwa ambao safari zao ni za halali huwa hawana haja ya kuandika taarifa za Uongo. Shida ipo kwa WAZINZI
Mimi mpaka leo naandikaga jina la mshikaji na no yake ya simuEnzi za uzinzi, niliandika sana majina ya wanangu, nachukua jina lake halisi, naongezea na la utani. Namba ya simu naandika ya kwake.
Napiga picha kitabu namtumia picha yenye ujumbe asiende guest kwa siku ya leo, jina lake lishatumika.
🤣😂
Ujana ni nusu ya uwendawazimu 🤣😂
Umetisha Sana..Mimi mpaka leo naandikaga jina la mshikaji na no yake ya simu
Kwanini muende hotel,? Nendeni majanini au migombani or sorry, kumbe topic inawahusu watu wa mjini.😁😁😁😁😁😁😁😁.
Kwann mnaenda gesti wazee , lipia hotel
Kuna hotel sasa hivi mtu unaweza kujiandikia tu taarifa bila copy ya ID?Kwa ambao safari zao ni za halali huwa hawana haja ya kuandika taarifa za Uongo. Shida ipo kwa WAZINZI
Kwa hotel sidhani, ila guest houses na lodge hata ukiandika la kiongozi hamna wa kujaliKuna hotel sasa hivi mtu unaweza kujiandikia tu taarifa bila copy ya ID?