briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Tatizo kubwa la ma-driver wa siku hizi waliojifunzia Auto, mbarabara wote huo pembeni kwa kupitisha hata semitrela mtu anashindwa kupitisha cammi... Imagine!!
Mleta mada na wewe ni mzembe mbona barabara pana vile tatizo unaogopa kupitisha gar kwenye mawe wakati iyo ni gari kubwa, ....wacha SU, STK, DFP WAkufunze kutumia barabara
Ila mbona kama unapita hiyo nafasi?
