Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 702
- 1,688
madereva wa siku hizi wamekua wakuda sana yani hadi kero.
Ngoja kwanza tutambue ukuda ni upi.
1. Upo barabara kuu hamna matuta wala kizuizi chochote lakini wewe unaamua kuendesha 30 kmph (sio kosa), nyuma yako kuna gari linataka kuovertake lakini haliwezi sababu upande wa pili upo busy, pale wapili unapokua free wewe unaongeza maspeed kama yote mpaka itakapokua shida kuwa overtaken. Wewe ni mkuda.
2. Upo double ways wewe na wapembeni yako wote mnaamua kuendesha sambamba 30 kmph na kulazimisha magari ya nyuma yashindwe kuwavuka, angali mlikua mnauwezo wakupishana kidogo na kuendelea kuenjoy na slow motion zenu. Wewe ni mkuda.
3. Umbali wenyewe wa dakika 5 tu, barabara yenyewe ya vumbi lakini wewe mjamaa unaendesha 80 kmph. , Wewe ni mkuda na ndo maana tunawachimbia matuta makubwa kama makaburi.
4. Kuna madimbwi ya kutosha lakini wewe mjamaa unaendesha na maspedi kama yote mpaka unaturudisha nyumbani wapita njia. Wewe ni mkuda
Zingine tutaendelea taratibu.
Ngoja kwanza tutambue ukuda ni upi.
1. Upo barabara kuu hamna matuta wala kizuizi chochote lakini wewe unaamua kuendesha 30 kmph (sio kosa), nyuma yako kuna gari linataka kuovertake lakini haliwezi sababu upande wa pili upo busy, pale wapili unapokua free wewe unaongeza maspeed kama yote mpaka itakapokua shida kuwa overtaken. Wewe ni mkuda.
2. Upo double ways wewe na wapembeni yako wote mnaamua kuendesha sambamba 30 kmph na kulazimisha magari ya nyuma yashindwe kuwavuka, angali mlikua mnauwezo wakupishana kidogo na kuendelea kuenjoy na slow motion zenu. Wewe ni mkuda.
3. Umbali wenyewe wa dakika 5 tu, barabara yenyewe ya vumbi lakini wewe mjamaa unaendesha 80 kmph. , Wewe ni mkuda na ndo maana tunawachimbia matuta makubwa kama makaburi.
4. Kuna madimbwi ya kutosha lakini wewe mjamaa unaendesha na maspedi kama yote mpaka unaturudisha nyumbani wapita njia. Wewe ni mkuda
Zingine tutaendelea taratibu.