Mugabe wa Bongo
Senior Member
- Apr 14, 2012
- 145
- 72
Madereva wa Tax wanaofanyia kazi Airport ya Dodoma wameanzisha fitna ya kuwazuia madereva wanaofanya Bolt kuingia kubeba abiria kwenye uwanja huo wa ndege.
Wanafanya fitina wao lakini pia wanashirikiana na baadhi ya watu wa TRA ambapo bolt akiingia wanamkamata na kuamuru kwenda ofisini kukagua kama huna deni lolote TRA, sasa hata abiria wengi wanapata usumbufu na kushuka kuanza kutafuta usafiri mwingine.
Abiria wengi wanaamua kutumia bolt kwa ajili ya usalama na faragha pia ndo maana hawapendi kutumia tax za airport lakini hilo kwa hawa madereva wa airport wao hawataki kukubali na wanataka kila abiria ashukaye atumie tax zao.
Shida nyingine ni kila gari dogo likiingia kubeba ndugu au jamaa hawa madereva wa tax wa airport wanapakazia ka maofisa hao wa tra waikamate na kuikagua kama ni tax mtandao (bolt) ama sio. Sasa jambo hili ni kero sana kwa abiria na hata kwa madereva wa magari.
Wanafanya fitina wao lakini pia wanashirikiana na baadhi ya watu wa TRA ambapo bolt akiingia wanamkamata na kuamuru kwenda ofisini kukagua kama huna deni lolote TRA, sasa hata abiria wengi wanapata usumbufu na kushuka kuanza kutafuta usafiri mwingine.
Abiria wengi wanaamua kutumia bolt kwa ajili ya usalama na faragha pia ndo maana hawapendi kutumia tax za airport lakini hilo kwa hawa madereva wa airport wao hawataki kukubali na wanataka kila abiria ashukaye atumie tax zao.
Shida nyingine ni kila gari dogo likiingia kubeba ndugu au jamaa hawa madereva wa tax wa airport wanapakazia ka maofisa hao wa tra waikamate na kuikagua kama ni tax mtandao (bolt) ama sio. Sasa jambo hili ni kero sana kwa abiria na hata kwa madereva wa magari.