Madenge the genius!

Madenge the genius!

CHIEF MP

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
1,559
Reaction score
680
Copied somewhere, just for funny!!!

Siku moja madenge alikua ana njaa lakini hanapesa. Akamuomba mungu" ewe mungu nijaalie niokote japo elfu 2 tu, naapa elfu 1 nitairejesha kwako kama sadaka ,. Baada ya maombi akaenda zake , ghafla mbele kidogo akaokota elfu 1 . Akasema dah, mungu ni waajabu kweli kweli ameshakata chake kabisa duuh HUYU MUNGU ATAKUWA NI WAKALA WA M-PESA LAKINI ANGEKUA WA AIRTEL- MONEY ASINGEKATWA MTU HAPA.
 
Teh teh teh teh teh teh kwel madenge ni genious.
 
Haa haa haa haaaa.... Nimeipenda sana hii thinking! Haina kuremba, imekatwa juu kwa juu
 
Huo mzaha mnaofanya mpaka kwa mwenyezi mungu kuna siku mtakuja kujuta
 
Copied somewhere, just for funny!!!

Siku moja madenge alikua ana njaa lakini hanapesa. Akamuomba mungu" ewe mungu nijaalie niokote japo elfu 2 tu, naapa elfu 1 nitairejesha kwako kama sadaka ,. Baada ya maombi akaenda zake , ghafla mbele kidogo akaokota elfu 1 . Akasema dah, mungu ni waajabu kweli kweli ameshakata chake kabisa duuh HUYU MUNGU ATAKUWA NI WAKALA WA M-PESA LAKINI ANGEKUA WA AIRTEL- MONEY ASINGEKATWA MTU HAPA.

Yaani wewe unamchezea Mungu? Sidhani kama zinakutosha vizuri.
 
kachukue mshiko Airtel maana hii joke yako ni bonge la advertisement.
 
Copied somewhere, just for funny!!!

Siku moja madenge alikua ana njaa lakini hanapesa. Akamuomba mungu" ewe mungu nijaalie niokote japo elfu 2 tu, naapa elfu 1 nitairejesha kwako kama sadaka ,. Baada ya maombi akaenda zake , ghafla mbele kidogo akaokota elfu 1 . Akasema dah, mungu ni waajabu kweli kweli ameshakata chake kabisa duuh HUYU MUNGU ATAKUWA NI WAKALA WA M-PESA LAKINI ANGEKUA WA AIRTEL- MONEY ASINGEKATWA MTU HAPA.

Acha jokes na Mungu Mkuu
 
Kuna vitu vya kufanyia utani, lakini hakuna tokea mwanzo wa dunia aliyefanya mizaha na Mungu akabaki salama, kumbuka kisa cha mdada mmoja ambaye alimuaga mama yake anatoka na marafiki zake, mama akamjibu Mungu awe pamoja nanyi, yule binti akamjibu mama yake gari yetu imejaa labda Mungu akae kwenye buti, kwa spidi kali akawasha gari na kuondoka, mbele alipata ajali kubwa sana, hakuna aliyeweza kufahamika kwa jinsi walivyoharibika vibaya, lakini trafiki walipofungua kwenye buti wakakuta trei ya mayai ikiwa salama, usije ukafanya dhihaka na Mungu.
 
duuuuh, maombi yenu ili nipgwe ban na Mungu hayatafanikiwa!!!!
 
Back
Top Bottom