Hivi kati ya Mwanamke na Mwanaume, anayeliwa ni nani?
Wamasaai wanatongozana kwa neno: "...Mama Yeyo, namba ile nameza mwenzake....."
Kwa msemo huo, huwa nashindwa kuelewa wanaume tunapojisifu/tunasifiwa "kula Mademu" wakati ukweli ni kuwa ni sisi huwa tunamezwa kwenye mgodi wa Mbuguni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.