Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Ndugu wana MMU
Kwanza niwaombe samahani wapenzi wangu wa jamvi hili. Nilipotea kidogo. Baada ya kutoka Loliondo kwa babu nilipitia Arumeru kumuuguza kaka yangu, Baba Sioi; na kisha baada ya msiba nikaanza kumpigia kampeni mdogo wangu Nassari.
Sasa nimerudi Dar. Nimerudi na gwanda la CHADEMA. Basi tangia nirudi ni kero tupu kwa jinsi mademu wanavyojigonga kwangu ninapovyovaa gwanda langu la CHADEMA. Nilipokuwa nalivaa Arusha, mademu waliliona la kawaida lakini huku Dar, demu yuko tayari "kuliwa" kwa ajili ya gwanda.
Niwaulize wadada (Preta, Cheusi Mangala, Maria Roza, n.k) kuna nini mnakipenda katika gwanda? Mtaniumiza mtoto wa mwenzenu. Kitu kinatema povu tu sasa.
Kwanza niwaombe samahani wapenzi wangu wa jamvi hili. Nilipotea kidogo. Baada ya kutoka Loliondo kwa babu nilipitia Arumeru kumuuguza kaka yangu, Baba Sioi; na kisha baada ya msiba nikaanza kumpigia kampeni mdogo wangu Nassari.
Sasa nimerudi Dar. Nimerudi na gwanda la CHADEMA. Basi tangia nirudi ni kero tupu kwa jinsi mademu wanavyojigonga kwangu ninapovyovaa gwanda langu la CHADEMA. Nilipokuwa nalivaa Arusha, mademu waliliona la kawaida lakini huku Dar, demu yuko tayari "kuliwa" kwa ajili ya gwanda.
Niwaulize wadada (Preta, Cheusi Mangala, Maria Roza, n.k) kuna nini mnakipenda katika gwanda? Mtaniumiza mtoto wa mwenzenu. Kitu kinatema povu tu sasa.