Mademu wakimya mnakera mnoo

ayaaaa!!! mkuu nipe number yake
 
Maisha yangu yote naoembea nije kupata msichana Kama huyo,
Tutakua tunaongea swali kwa jibu, swali kwa jibu, nyumba nzima ni ububu.


Mkuu umeitupa bahati, ngoja upate anayeongea Kama kameza CD, alafu utagundua kuwa hadi masikio huwa yanahitaji muda wa kupumzika.
 
Ikiwepo hekima meneno huchujwa sana na huchagua la kuongea, namwona ana hekima kuzidi hongera kwa hilo rafiki
 
Ndugu zangu wanamuona ni mtu mwenye kiburi sana
kwni ameolewa na ndugu zako au wewe ndo umemuona ukimpenda, ukamthamini, ukamjali na kumchukulia alivyo inatosha sio lazima kila mtu amfurahie kwani ata angekuwa anawachangamkia ni bado wangemsemaaa. Inaonekana na ww pia unamchoka kwa hilo kwani hukuliona kuanzia mwanzo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…