Mademu part II

Mademu part II

hata sisi vigezo na masharti huzingatiwa!

Mfano tunakuja mimi na Wambuzi, wewe unamind Wambuzi wambuzi amechuna, na mimi ndiyo hutaki hata kuniona lakini ndoo ninayekusomesha hadi unatamani ubadili namba ya simu. Je utaweza kusema hunitaki mimi ila unamtaka Wambuzi? na Wambuzi na wenzio watakuchukuliaje?
 
Mfano tunakuja mimi na Wambuzi, wewe unamind Wambuzi wambuzi amechuna, na mimi ndiyo hutaki hata kuniona lakini ndoo ninayekusomesha hadi unatamani ubadili namba ya simu. Je utaweza kusema hunitaki mimi ila unamtaka Wambuzi? na Wambuzi na wenzio watakuchukuliaje?
kukukataa wewe ntaona soo coz ya ungwana uliionifanyia, lakini at the same time natakiwa kusikiliza moyo wangu unamtaka nani??.....swali lingine la kujiuliza je wambuzi naye ananipenda kama mi ninavyompenda??
pia kupenda sio kazi coz unaweza kujifunza kumpenda mtu kazi ni kumpata yule akupendaye........so licha ya kunisomesha kama unanipenda kwa dhati ntabaki na wewe!
 
Eti mimi nataka Mwanaume awe mtanashati,awe Na Kazi yake ya
Kueleweka, awe na Pesa,awe amesoma soma May Be Chuo hivi hapo Sawa Vingnevyo tupa Kulee, Wewe Mbona umeishia Darasa la saba? hata Chuo Cha Unesi kimekushinda!! unadhani kusoma Kazi rahisi eeh??? Pesa zimekushinda Kutafuta unamuwazia Mwenzako ndo awe Na Pesa ili uje uzitumie Viuzri, Unakaa Kujidai Unachagua Wanaume wakutembea nao wakati we Mwenyewe vigezo huna...Hahaha! Kweli Mnachekasha baadhi Dada zangu. Sasa Wewe Ndo tunatupa Kulee!! Nenda Kasome Kwanza halafu utafute hela ndo useme unataka mwanaume wa hvyo.Nimewaza tu jaman.
Kwa Hisani ya watu wa Uru Kishumundu.
keleeeeeeeeeeeeeewiiiiiiiii shimboni sha wana
 
Do you.

It's a free country. Hata kama anataka vigezo ambavyo si sawa na vyake (pengine kuleta uwiano mzuri kwenye milinganyo) wewe kinachokuuma nini?
 
mbona keshawataja!!!!
aliposema kwa Hisani ya watu wa Uru Kishimundu hapo Uru ni karibu na Mjini Moshi sasa asubuhi kina dada wanateremka Mjini Moshi na mabeseni yana Maparachichi na ndizi kichwaniwakishayauza wanatembea kwa miguu tena kurudi Uru huku njiani wakitafuna miwa (Hii hali imeiambukiza miji mingi kina mama kutembea na mabeseni Kichwani hata hapa Dodoma kina mama wa Ntyuka huja mjini kulangua nyanya, karanga na mbogamboga km kina mama wa Uru-Kishimundu Wambuzi hivi hawa Wanawake wanaotaka wasomi ndio hao wa Kishimundu?
ha h ah ah ah ha...................... ndo manake ndugu ukwaju
 
Eti mimi nataka Mwanaume awe mtanashati,awe Na Kazi yake ya
Kueleweka, awe na Pesa,awe amesoma soma May Be Chuo hivi hapo Sawa Vingnevyo tupa Kulee, Wewe Mbona umeishia Darasa la saba? hata Chuo Cha Unesi kimekushinda!! unadhani kusoma Kazi rahisi eeh??? Pesa zimekushinda Kutafuta unamuwazia Mwenzako ndo awe Na Pesa ili uje uzitumie Viuzri, Unakaa Kujidai Unachagua Wanaume wakutembea nao wakati we Mwenyewe vigezo huna...Hahaha! Kweli Mnachekasha baadhi Dada zangu. Sasa Wewe Ndo tunatupa Kulee!! Nenda Kasome Kwanza halafu utafute hela ndo useme unataka mwanaume wa hvyo.Nimewaza tu jaman.
Kwa Hisani ya watu wa Uru Kishumundu.

part 3 coming soon
 
Do you.

It's a free country. Hata kama anataka vigezo ambavyo si sawa na vyake (pengine kuleta uwiano mzuri kwenye milinganyo) wewe kinachokuuma nini?
Kiranga we ni mpinzani wangu wa kitambo, ngoja nikuache
 
This is wonderfully, even women they are looking for the status to be belonged by their expected HUSBAND!
!!
 
Kiranga we ni mpinzani wangu wa kitambo, ngoja nikuache

Mimi sipingani na mtu, ila masuala.

Napinga kwamba mimi ni mpinzani wako.

Kwa kweli nilikuwa hata sija note kwamba kuna mtu anaitwa "Wambuzi" mpaka leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom