Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Muweke na picha,sio talalila tuWakuu bila shaka mnafahamu kuwa leo ndiyo siku rasmi iliyoamuliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kwa watuhumiwa wa madawa ya kulevya kuripoti central police station.
Nipo eneo la tukio. Kaeni mkao wa kula kwani mtu mzima nipo hapa kuwaletea kila tukio litakalojiri.
Update 1
Kuna idadi kubwa ya waandishi wa habari hapa sijawahi kuona mfano wake tangu enzi za adamu na hawa.
Update 2
Gwajima na Manji wameshushwa hapa muda si mrefu. Sijaweza kufahamu haraka haraka kuwa walikuwa wapi?