milito23
Member
- Jul 12, 2015
- 87
- 15
kwani awana ndugu jamaa na marafiki au..Waathirika wa ngoma utawazika wewe?
kwani awana ndugu jamaa na marafiki au..Waathirika wa ngoma utawazika wewe?
CCM Ni Janga kwa VIJANA.
vita hii kimitazamo ni kubwa kwa savabu unagusa moja kwa moja vyombo vya kiusalama kwa namna moja au nyinge kutokana nq hali halisi hivyo basi wakitaji kupambana mabadiliko lazima yafanyike ila viapo tu aitoshi pesa inakiwa inanguvu sana kuliko kingne Je ? wameboreshewa mazingira mazuri yanayowapelekea kuipiga rushwa sauti yako sheria ila pesa inakiwa ina nguvu kuliko sheria kwa ujumla najua mtakuwa mnajua hata takukuru wanajua sababu zinazopelekea mtu kupokea rushwa ni zipi ninachomanisha na kukizungumza ni sababu moja wapo . inafika wakati unauliza nani wakulaumiwa ? katika hiloNdugu wana jf nimekaa kutafakari nimegundua kua hii ishu iliyo vuma sana ya madawa ya kulevya ni kama serikali inacheza na akili zetu tunaambiwa siku zote kwamba serikali inajukumu la kuwalinda raia wake dhidi ya majanga yeyote lakin hapa imekua tofauti mimi nilitegemea kwamba wauza unga wangeanza wao kupiga kelele kwamba unga hauwezekaniki kuingia nchini kwasababu serikali imedumisha ulinzi wa kutosha katika mipaka yake yote lakini ninapata mashaka kuona serikali ambayo ndio inamiliki mipaka yote ambayo ndio madawa hupitishwa wao ndio wanalalama asa ninajiuliza hivi hawa wanao ingiza haya madawa hua wanamiliki baadhi ya mipaka ya nchi yetu?. Na je tunahaki ya kuiwajibisha serikali kwa kuwa imeshindwa kutekeleza jukumu lake dhidi ya raia wake? Au wameamua kuwaruhusu waingize afu waanze kutafutwa na kuchafuliwa ambao hawahusiki? Na je serikali inapo laumu kuhusu suala hili sisi wananchi tumlaumu nani?
Naomba kuwasirisha
Kweli wewe ni "yaliyomo yamo"List 2 za awali zimejaa wapinzani tu, wachache sana watu wa upande wa mtajaji, je ni ni coincidence au ndio dhamira kuu?
Katika maisha ya kiintelijensia ni muhimu sana kuangalia patterns, sisemi kuwa list sio sahihi ila kuna pattern ya kuitazama!
- Mwanasiasa mkuu wa chama pinzani!!!
- kiongozi wa dini mpinzani!!!
- Mmiliki wa radio pinzani!!
- Mwenyekiti wa timu pinzani!!
- Msanii wa kundi pinzani!!
Acha kusingizia watu wewe.majizo wa efm yumo ndani kwa hisani ya ruge mutahaba
Popoma at his best using kijani eyesMbowe ukimtazama Kama Kiongozi wa Upinzani Bungeni au Mbunge au Mwenykt wa Chadema ni ngumu kuamini Kama anashiriki Biashara ya dawa za kulevya.
Ukimtazama Mbowe Kama aliekuwa Mmiliki Night Club ya Bilicanas na ukajikumbusha yaliyokuwa yanaendelea ndani ya ile Club ( Kama uliwahi kwenda) hasa nyakati na Usiku huwezi kushangaa hata kidogo.
Popoma at his best using kijani eyes