Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Abanwe aeleze hayo madawa huku Tanzania alikuwa anayapata kwa nanni? Kweli huu Ni mtandao lakini Nina imani Na serikali ya marekani itawasaka ila kwa serikali ya Tanzania sina imani nayo.
Hahaha hahaha!!
Thank you, Labda sasa atakoma kusema uongo.
Hapa ndipo huwa naona Religion is mankind Opium, yani wewe hapa unadhani tunabishania Uislamu na ukristo?
Pole yako.
JF kuna vituko sana huyu Motola anadanganya watu halafu watu wanampa like.
Mnadanganywa kama mapunguani na nyie mnagonga like tu.Gerezani FC.wazee wa fitina.lmao
Sasa wapi hapo mkuu Mahmood kaleta uislamu au ukristo!
Mbona we mtoto unachanganyikiwa fasta namna hii?
We sisi tulichofanya ni Kukukataza UONGO! Khalas.
Mambo ya uongo Ya Kujikweza Hayakufai.
Utakuwa unaadhirika kila siku.
Mkuu nacheka vibaya mno hapa!.
😅😅😅😅😅.
Sasa huyo anaetoa Like sijui ana hali gani!
Dahhh!
Hivi mtu unaweza kutoka karikoo kwa ndege mpaka Chalinze.Mkuu nacheka vibaya mno hapa!.
😅😅😅😅😅.
Sasa huyo anaetoa Like sijui ana hali gani!
Dahhh!
Sitoki kwenye hii thread kwa ajili ya kuufuatilia huu "mpambano".
Subirini tu mtakimbia wote hapa.
Subirini tu mtakimbia wote hapa.
Hivi mtu unaweza kutoka karikoo kwa ndege mpaka Chalinze.
Teh teh teh labda alitumia Motola Airlines.
Huyu jamaa uwa anawapata kweli watu wakuwadanganya.Hii nini tena mkuu?
Mi naona picha ya Uda Lililo ungua na Katonta mmoja yuko pembeni.
Vipi Matola unatumia Simu ya Kichina?
Manake hii picha haieleweki kabisa.
Au na hio Mobile Ilinunua Canada?
Teh teh teh teh!
Wasting of ur time, topic ni madawa ya kulevya, kama unasubiri meli airport pole sana.
Huyu jamaa uwa anawapata kweli watu wakuwadanganya.
juzi kati pangani tanga...kwenye kijiji cha kipungwi kuna wapakistan walimwaga unga mwingi kweli baharini....ili wasikamatwe.....zaidi ya kg 400..basi wananchi sehemu ile wacha waokote mifuko na mifuko ya ngada...kg 1 ya ngada iliuzwa hadi 100, 000/ mwanzoni walikuwa hawajui baadaye wakaawa wanauza hadi 1, 000, 000 na zaidi kwa kg1Ni siri iliyowazi kwamba Tanzania sasa ni kuna storage kubwa ya madawa ya kulevya. Siku hizi hatusikii watu kukamatwa wakijaribu kuingiza madawa bali wanakatwa wakijaribu kuyabeba na kutoka nayo. TISS na polisi mko wapi kufichua hizi stores za madawa haya?
Tiba
Matola, wala usibishane nao mimi hiyo ya Gatwick to Heathrow niliipita miaka ya mwanzo 2000 - 2003 nilikuwa natoka US naenda bongo thru umangani. Haikusaidii kubishana na asiyekubali.
juzi kati pangani tanga...kwenye kijiji cha kipungwi kuna wapakistan walimwaga unga mwingi kweli baharini....ili wasikamatwe.....zaidi ya kg 400..basi wananchi sehemu ile wacha waokote mifuko na mifuko ya ngada...kg 1 ya ngada iliuzwa hadi 100, 000/ mwanzoni walikuwa hawajui baadaye wakaawa wanauza hadi 1, 000, 000 na zaidi kwa kg1
watu walizifukia chini .....nzowa alienda lkn holla
ma dealer walitoka dar to tanga huko kufata mzigo...kununuaaaa ...nashanga habari haijatokea kbsa ktk vyombo vya habari....
kweli mkuu tz kuna shehena la ngada hatari
Hapa ndipo huwa naona Religion is mankind Opium, yani wewe hapa unadhani tunabishania Uislamu na ukristo?
Pole yako.
Huyu Baisi si mhaya huyu? Hivi nyie wahaya nini kimewapata siku hizi, mmeingilia deal za wachaga?
juzi kati pangani tanga...kwenye kijiji cha kipungwi kuna wapakistan walimwaga unga mwingi kweli baharini....ili wasikamatwe.....zaidi ya kg 400..basi wananchi sehemu ile wacha waokote mifuko na mifuko ya ngada...kg 1 ya ngada iliuzwa hadi 100, 000/ mwanzoni walikuwa hawajui baadaye wakaawa wanauza hadi 1, 000, 000 na zaidi kwa kg1
watu walizifukia chini .....nzowa alienda lkn holla
ma dealer walitoka dar to tanga huko kufata mzigo...kununuaaaa ...nashanga habari haijatokea kbsa ktk vyombo vya habari....
kweli mkuu tz kuna shehena la ngada hatari