Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Mkuu wangu nakushauri unapochangia jambo hakikisha uko well informed au una ufahamu mpana juu ya unachokisema.
Italy iko barani ulaya na pia Italy ni mwanachama wa EU na pia Italy ipo kwenye itifaki ya Sheghen contries/ Sheghen viza.
Hivi unataka kuniambia Malawi ni tajili kuliko Tanzania ambapo mpaka juzi tu walikuwa wanaingia kwa entry Uingereza?
Ok mimi mara ya kwanza nimeingia South Africa kwa Viza na leo hata wewe ukitaka kusafiri leo leo kwenda South Africa unakata ticket unapanda ndege unaondoka je Tanzania imegeuka kuwa nchi tajili?
Siko well informed, mbumbumbu. Lakini illegal migration na overstay ndio sababu ya watanzania na watu wa nchi zingine kutakiwa kuwa na visa.
Na kuhusiana na Malawi. Wanatakiwa kuwa na visa na tena wanalipia kwa kutumia South African Rand. Ukitaka website zenye information hizo nitakupa.
Kuhusiana na South Africa, legacy za vita vya ukombozi zinawafanya kutunea aibu tu.