Madawa ya Kulevya: Mtanzania aishie Marekani ashtakiwa kwa kuingiza heroin nchi humo

Una maana Wachaga Kina 2013 ndio wauza Poda Eee!

Mbona unawapa cheo likubwa namna hii?
Hawa ni wauza Mbege tu.
Wakizidisha saana Kimpumu.

Na Ile Juice ya uharo wa Mbuzi uliochanganywa na Damu.
Wanauita kisusio..

Ovyo sana hawa jamaa.
laiti kisusio kingekuwa kibaya Serikali ingeshapiga marufuku kama ilivyopiga marufuku gongo, ila haina cha kufanya manake inajua wapo waliohaidiwa gongo peponi.
ni imani yangu uji wa suna na ule wa ngama umekulevya akili unashindwa kuona mawazo tofauti. najua uko pathetic kusikia uovu uliojificha kwenye imani yako, lakini jua jambo moja tu. unaweza kupiga chini. Kuliko kung'ang'ania tu huku huna furaha na uongo unaodanganywa. anza mabadiliko sasa, uokoe walio Gizani. kumbuka sio wote mnaodanganywa wanajua kuwa wanadanganywa. wako hapa watu wanachukizwa na mawazo tofauti wanaona njia ni kutukana imani za watu ili wajisikie vizuri. Lakini nakushauri hiyo sio njia bora ya kutatua matatizo. we piga nyama chini. ndio utakuwa na furaha ya kweli.
Kimsingi hakuna ambacho hukijui kuhusu muhammad? yeah alilala na katoto, ndio alikuwa mpenda mademu tena wale wenye bikra,aliua mtu, alinyanyasa wanawake wengi zaidipia na wanaume.
Narrated Usama bin Zaid:
The Prophet said, "After me I have not left any affliction more harmful to men than women."

na hakuna ambacho hukijui kuhusu Altaqiyyah
sasa why wasting your time there..if you already know the truth?Be the source of change. Fahamu tu maisha ni mafupi sana, ila yapo maisha ya milele. Sasa Anza kuchagua njia iliyosahihi kuliko kumwaga tindikali kwenye hizi blogu, ili kuwakosesha mbingu wale very elect.
 
Madon wa unga hata Rais majina yake anayo lakini hana uthubutu huo huyu ndio Rais anayeongoza kwa kuwa na washkaji wengi kuliko Rais yeyote hapa Duniani.

Cctv za airport zimeonesha dhahiri Masogange alisindikizwa na kina Juma Pinto halafu hao hao maswahiba wa ikulu.

very interesting
 
Kuwa adabu na wachagga wewe! Uliona wapi Mchaga FISADI? ... hao watu ni hard workers wenye nidhamu ya hali ya juu kwenye fedha... Umewahi kusikia Mchaga akitapanya fedha kama akina Rugemalila, Kajumulo, KIchwa Buta et al?..

Huyu Baisi si mhaya huyu? Hivi nyie wahaya nini kimewapata siku hizi, mmeingilia deal za wachaga?
 
Sina nia ya kuendeleza malumbano na mbumbumbu asiyejuwa lolote, jiulize uchaguzi mkuu wa kwanza Maalim Seif kuporwa ushindi ilikuwa mwaka gani na wapemba wengi waliopo Uingereza waliingia mwaka gani UK na kadi zao za CUF na kupewa Asylum seeker.

Wazanzibar ndio chanzo cha Tanzania kufutiwa entry na uchaguzi ulifanyika mwaka 1995 wewe ulikuwa mdogo siyo kosa lako wakati wakubwa wanaongea funga mdomo.

Halafu wewe inaonekana ni fundi wa kugoogle sasa rudi google kawaulize transint Viza kwa Watanzania zimeanza mwaka gani?

Mnajiahaibisha bure hapa jamvini.

Huna lolote wewe.
Leo umeumbuka.
Hizi tabia za kujikweza Zinaadhiri watu. Si unaona sasa.!?
 
Hao aliyewatag waje hapa ndio wanamwamini ni mjuwaji sasa kamwingiza mwenzake mkenge yeye kaingia mitini hao ndivyo walivyo labda wewe hauwajui.

Nani aingie mtini wewe mtoto?
Unadhani watu wote Washinda Vijiweni ka wewe?
We si mtu wa Kupigwa Ofa tu na Wapita njia? Unakaa kijiweni Halafu mkikamatwa kwa uzembe na uzururaji mnalaumu rais.

Katafute kazi wewe.
 
Ameshaharibu maisha yake ktk umri mdogo jamni tamaa hizi , kwani hakuna biashara zingine za kufanya mpaka hizi haramu tu. Nadhani wanajua nini hatima yao wote wanaofanya biashara hizi.
 
Subiri anti-wabeba maboksi brigade waamke.....

Jamaa amekubali ku-enter a guilty plea ili atumikie miaka mitano tuu jela.

Ameshaharibu maisha yake ktk umri mdogo jamni tamaa hizi , kwani hakuna biashara zingine za kufanya mpaka hizi haramu tu. Nadhani wanajua nini hatima yao wote wanaofanya biashara hizi.

=========

MUSKEGON, Mich. (WZZM) – Five years after he was busted while flushing heroin down the toilet, an Illinois man faces up to 40 years in prison for peddling heroin mailed here from Tanzania in the soles of sandals. Allen Jordan Baisi, 34, is expected to enter a guilty plea in federal court next week for his role in an international heroin smuggling and money laundering organization that operated from 2013 through July 30, 2014.

Members of the organization have addresses in the United Republic of Tanzania, India, northern Illinois and West Michigan, Homeland Security Investigations Special Agent Cory J. Howe Howe wrote in a criminal complaint.
The local connection came to light in December, 2013 when federal agents seized two heroin-laden Express Mail parcels destined for Muskegon. About 10 ounces of heroin with an estimated street value of $33,000 was hidden in the soles of sandals.

Also charged in the heroin conspiracy is 43-year-old Charles Hathorn of Muskegon. He was arrested Dec. 5 - just eight months after being released from prison for a 1995 drug trafficking conviction. Hathorn was locked up for nearly 19 years on the Muskegon County case. Federal authorities say he distributed Tanzanian heroin to a network of Muskegon area dealers. Hathorn then mailed payments to Baisi for the imported heroin, federal prosecutors contend.

Baisi admitted to receiving U.S. Postal Service parcels from Grand Rapids containing anywhere between $1,500 and $5,000. After taking a cut of the proceeds, Baisi said he forwarded the money to Tanzania, court documents show.
The eastern Africa country is emerging as a major distribution hub for heroin produced in Afghanistan and Pakistan. Two weeks ago, nearly 800 pounds of heroin was seized off the coast of Tanzania.

Baisi was arrested in September just before boarding an Emirates Airlines flight from Chicago's O'Hare International Airport to Tanzania. He was indicted in October for conspiracy to distribute heroin and money laundering.

In a plea agreement proffered by federal prosecutors, Baisi will be allowed to plead guilty to conspiracy to distribute heroin, which carries a mandatory minimum sentence of five years in prison. The charge is punishable by a maximum term of 40 years and a $5 million fine.

Heroin mailed from Tanzania distributed in Muskegon Co.
 
Mtanzania aishie Marekani ameshtakiwa kwa kuhusika katika njama ya kimataifa ya kuingiza heroin nchni humo kutoka Tanzania. Mamlaka husika huko Marekani wamemtaja Mtanzania huyo kuwa ni Allen Jordan Baisi (34) na anahusika kwenye mtandao wa kimataifa wa kuingiza madawa ya kulevya Marekani kwa kutumia vifurishi vinavyotumwa kutoka Tanzania kwenda kwa "wateja" mbalimbali Marekani.

Hata hivyo, "wateja" hao walikutwa kuwa ni wasaidizi wake wakuu katika biashara yake haramu ya heroin. Kwa mujibu wa nyaraka za kimahakama, mtandao wake unajumuisha kusafirisha heroin iliyofichwa ndani ya soli za makubadhi (sandals) kwenye vifurushi vilivyokuwa vinatumwa kutoka Tanzania kwenda kwenye anwani za nyumbani zilizoko katika kaunti ya Muskegon.

Kwa mujibu ya wa tovuti ya mlive.com, Allen Jordan Baisi, ambaye anaishi Mount Prospect, Ill, alikamtwa huko Illinois na kushshtakiwa mwezi Octoba mwaka huu kwa kosa la kujihusisha kusambasa karibu gramu 100 za heroin na kosa la money laundering. Kwa mujibu wa nyaraka za kimahakama, Allen Jordan Baisi, ni Mtanzania na alikamatwa kwenye trafiki September 22 mwaka akiwa njia kuelekea uwanja wa ndege kuja Tanzania. Kesi yake itaanza kusikilizwa Januari 6, 2015.

Bw. Baisi anashtakiwa pamoja na watuhumiwa wengine ambao wanajulikana kwa majina na wengine hawajulikani. Waendesha mashtaka wanadai kuwa heroin ilikuwa inafichwa kwenye vifurishi vya nguo ambavyo vilikuwa zinatumwa kwenye anuani za nyumbani zilizopo katika kaunti ya Muskegon na kuwa mtu mwingine ambaye nyaraka za kimahakama zinamtambulisha kama "Individual A” alikuwa anapokea heroin hiyo na kuisambaza eneo hilo. Mtu huyo alikuwa anakusanya malipo kutoka kwa wateja na kuyawasilisha kwa Bw. Baisi huko Illinois ambaye alikuwa anazituma Tanzania na kubakia na nyingine.

Mwaka 2013 na 2014, Bw. Baisi alipokea fedha kama malipo halafu akazituma jiji Dar Es Salaam kama malipo ya alikonunua heroin hiyo. Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Homeland Security ya Marekani kwenye simu mbili za Bw. Baisi Ocktoba 7 mwaka huu baada ya kukamatwa, mtuhumiwa aligundulika kuwa kwenye sehemu ya mtandao wa kimataifa wa biashara ya heroin na money laundering kati ya Tanzania na Marekani.

Kwa mujibu wa ripoti ya Homeland Security, wanachama wa mtandao huo wanaishi sehemu mbalimbali duniani zikiwemo Tanzania, India, kaskazini mwa Illinois and magharibi mwa Michigan. Bw. Baisi anadaiwa kusimamia na kufuatilia kwa njia ya kieletroniki jinsi vifurishi hivyo vilivyokuwa vinasafirishwa kutoke Tanzania hadi Muskegon.

Mamlaka husika zilishtukia biashara hiyo ovu Disemba 2013 baada ya kukamata vifurishi viwili (Express Mail parcels) vilivyokuwa vimetumwa kwa wakazi wawili katika eneo la Muskegon. Kila kifurishi kilikuwa na karibu gramu 150 za heroin iliyokuwa imefichwa ndani ya soli za sandals. Uchunguzi ulidumu kwa miezi kadhaa kabla ya kukamata kifurishi cha tatu chenye heroin July 2014 katika uwanja wa John F. Kennedy Airport jijini New York kilichokuwa kinaenda katika anwani iliyopo magharibi mwa Illinois iliyokuwa na uhusiano na Bw, Baisi.

Baisi alikuwa bado anatumikia kifungo cha nje tokea mwaka 2009 baada ya kufungwa kwa kosa la kujihusisha na biashara ya heroin. Agosti 5 mwaka huu, Polisi walimhoji Baisi nyumbani kwake Illinois. Inadaiwa kuwa katika mahojiano hayo, Bw. Baisi alikiri kujihusisha katika mtandao wa biashara ya madawa ya kulevya na money laundering kati ya Tanzania na Marekani.

Baada ya Bw. Baisi kushirikiana na polisi waliokuwa wanafanya uchunguzi, ikiwa ni pamoja na kuwakabidhi simu zake Augosti 25, polisi walipokea taarifa Septemba 19 kuwa angeweza kuondoka Marekani Septemba 22. Maafisa wa Customs waliidhibitishia polisi kuwa Baisi alikuwa amepanga kuondoka na ndege ya Emirates kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa O.Hare kwenda Dar Es Salaam, Tanzania, kinyume na makubaliano ya yeye kutumikia kifungi cha nje.

Baada ya kuambiwa hivyo, polisi walipata warrant na kumkamata Septembe 22 kwenye taa za trafiki maeneo ya Mount Prospect wakati akielekea uwanja wa ndege kurudi Tanzania. Oktoba 30, mahakama iliamua kumweka ndani bila bail kusubiri kesi yake. Jaji alisema Baisi ametenda kosa ambalo adhabu yake ni si chini ya miaka 10 jela na kwamba kuna uwezekano kuwa Baisi angeshindwa kutokea mahakamani au kuhatarisha maisha ya mtu mwingine au jamii kama akiachiliwa.

Chanzo: Government: International drug ring smuggled heroin to Muskegon from Tanzania; suspect charged | MLive.com

What is the chance kwamba uchunguzi wao utawaleta bongo kwa vigogo wa mihadarati wasio kamatika?
 
hawa wajinga na biashara zao haramu wanaharibu balaa! kila airport ukipita wakiona passport mbongo wanapigwa shoti! mi nilipita Nairobi to Amsterdam kupunguza gharama za ticket wakanihoji sana pale na ukaguzi wa kufa mtu na permit wakacheki , kila kitu , hadi naelekea kupanda ndege jamaa bado wananitamani! yani usumbufu mkubwa balaa, eti wakasema kwa nini sijapitia kwetu shamba la bibi Mwalimu Nyerere?, hivi jamani abiria ni lazima akienda ulaya asafirie uwanja wao wa ndege? haya siku nikapitia mtandaoni nikaona majina ya waliofungwa na kuhukumiwa kunyongwa huko China kwa issue za unga, yani ni aibu kubwa sana, wabongo mamia kwa mamia wanahangaika na unga badala ya kupiga dili zingine za halali! hamad, si nikaona jina la kaka yangu wa ukoo , sikuamini kusoma jamaa kapigwa LIFE SENTENCE! nikapigwa shoti! , jamaa alikuwa mpole na mtu wa msaada sana , alikuwa na tabia nzuri , mcheshi sana , kumbe kaka yangu nae kontena! na sasa mama yake , yani bibi yangu ana BP kwa mwanae kula mvua hadi kifo chake lupango! hawataonana tena! manake bibi hana nauli kwenda China kumsalimia mfungwa! jamaa alikuwa na maisha mazuri bongo , ana magari matatu, mke beautiful na mtoto handsome , miaka minne sasa! noma sana! wabongo tuache hizi issue, list ya waliokamatwa ughaibuni na walioko magerezani na walionyongwa inatisha watu bado wamo tu! and YES, Tanga na Dar vijana wake ni wahusika zaidi, makontena!
Pole sana mkuu kwa huyo ndugu yako wa ukoo yaani hawasikii kila kukicha wanakamatwa wapya najiulizaga hivi huwa wanafikiri waliokamatwa hawana akili sijui. Utashangaa sana kuona wanakamata wapya kila siku yaani hao mabwana wakubwa bado tu wana lugha laini ya kuhadaa ndugu zetu.
 
Back
Top Bottom