Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Waheshimiwa
Hivi majuzi nilikutana na Madaraka Kambarage Nyerere, nikamwuliza maoni yake kuhusu hali ya siasa katika taifa letu. Akanijibu kuwa, "Watanzania wana hasira kali sana lakini hawajaweza kutumbukiza hasira yao katika sanduku la kura". Akaongeza, "Siku wakitumbukiza hasira yao kwenye sanduku la kura, ndipo tutaona mabadiliko katika nchi hii".
Wajameni mnasemaje?
Hivi majuzi nilikutana na Madaraka Kambarage Nyerere, nikamwuliza maoni yake kuhusu hali ya siasa katika taifa letu. Akanijibu kuwa, "Watanzania wana hasira kali sana lakini hawajaweza kutumbukiza hasira yao katika sanduku la kura". Akaongeza, "Siku wakitumbukiza hasira yao kwenye sanduku la kura, ndipo tutaona mabadiliko katika nchi hii".
Wajameni mnasemaje?