Pengine tutaonekana tuna wivu, lakini penye ukweli na usemwe: Serikali ya Magufuli hapa imeingia mkenge na imeingia kichwa kichwa.
Unaweza kuona wanavyotangaza hapa: Source raw cashew nuts Outturn 49 -52 on m.alibaba.com au Raw Cashew Nuts Outturn 49 -52 - Buy Outturn 49-52 Organic Dry Product on Alibaba.com na profile yao ipo hapa Company Overview - Indo power solutions
Angalia details hizi kwa mujibu wa Alibaba:
View attachment 1019349
Uwezo wa Kampuni - Research & Development team LESS THAN 5 people:
View attachment 1019353
Lakini, angalia production capacity yao ni ipi na SOMA wao wanasemaje kuhusu 'Cooperation Factory' yao:
View attachment 1019356
Madalali hawa, wanamtumia kijana “Nash Ngare” ambaye profile yake LinkedIn inaonekana kama hivi https://www.linkedin.com/in/nash-ngare-81870369/
Angalia kwenye details za profile yake amejiunga na kampuni lini:
View attachment 1019338
View attachment 1019337
Again, huyu naye ni kundi moja na kina Brian Mutembei; ni kijana wa Ruto
View attachment 1019369
Nadhani inamkumbusha na kumfurahisha kuona jinsi JF ilivyo kisima cha mijadala mizito, ingawa siku hizi imepungua kiasi.Nimefurahi kuona uzi huu umemfanya hadi Maxence Melo kulike.
Kama wameingia mkataba wakanunua kwetu huku sisi kinatuhusu nini wapi wao wanaenda kuuza? Isipokuwa kama wamenunua kwa kutukopa wakiahidi kutulipa "wakishauza"; hapo kutakuwa na tatizo. Lakini wakilipa kwetu na wakabeba sheneza zao hilo lwao wapo wataenda kuuza au kula..
Mzee ungekaa tu kimya utatetea urongo mpaka lini ?Kama wameingia mkataba wakanunua kwetu huku sisi kinatuhusu nini wapi wao wanaenda kuuza? Isipokuwa kama wamenunua kwa kutukopa wakiahidi kutulipa "wakishauza"; hapo kutakuwa na tatizo. Lakini wakilipa kwetu na wakabeba sheneza zao hilo lwao wapo wataenda kuuza au kula..
Kama wameingia mkataba wakanunua kwetu huku sisi kinatuhusu nini wapi wao wanaenda kuuza? Isipokuwa kama wamenunua kwa kutukopa wakiahidi kutulipa "wakishauza"; hapo kutakuwa na tatizo. Lakini wakilipa kwetu na wakabeba sheneza zao hilo lwao wapo wataenda kuuza au kula..
What is the problem?
Mkuu,Inaelekea kuna watu wameamua kujiweka vibaya na watasaga meno sana maana hakutakuwa na unafuu kwao hadi wabadilike kuwa positive.
Kama wameingia mkataba wakanunua kwetu huku sisi kinatuhusu nini wapi wao wanaenda kuuza? Isipokuwa kama wamenunua kwa kutukopa wakiahidi kutulipa "wakishauza"; hapo kutakuwa na tatizo. Lakini wakilipa kwetu na wakabeba sheneza zao hilo lwao wapo wataenda kuuza au kula..
Wana akili hiyo?Kwa nini Serikali haikutafuta soko kwa ali baba badala ya kupitia kwa mtu wa kati?.