Madaktari wauaji Mt. Meru Hospital arusha

Mkuu MVUMBUZI naomba utambue kwamba hata Hospitali ya MT MERU ni biashara, bali wao hawafanyi biashara kwa faida. Mtaji wa kuendeshea hiyo biashara unatokana na kodi zetu; kumbuka vifaa na madawa vinanunuliwa pamoja na kuwalipa wahudumu. Wateja ni mimi na wewe. Hivyo basi wanapaswa kujifunza jinsi ya ku-care wateja wao.

Hivyo basi ni wajibu wetu sote kuhakikisha kwamba tunatoa huduma kwa wateja wetu vyema, ninaamini hata wewe kuna wateja wansubiri huduma yako SASA HIVI, JE UNAWAHUDUMIA VYEMA, UNATIMIZA WAJIBU WAKO,.............!!!! JE HUTENGENEZI MAZINGIRA YA KUPEWA RUSHWA???????. Kila mmoja wetu kuwajibika kwa sehemu yake katika kufikisha huduma bora kwa wateja wetu, kama MLAIZER alivyoeleza kwamba tatizo ni mfumo; tushirikiane kubadili mfumo huu mbovu katika kuleta huduma kwa jamii yetu. Mabadiliko yaanze kwa kila mtu katika eneo lake.

Ni sawa kwa dhana uliyoelezea mkuu nisikatae sana kwamba katiba inaweza kubadili mfumo na hali ikawa nzuri lakini nakwambia ni mabadiliko yatakayochukua muda na wakati huu tunaposubiri mfumo kubadilika what should we do then? Hatuwezi kubaki tunalia mpaka tufe tukiwa tumekaa kwani lazima tuwe na mahali pa kuanzia kwani kubadili system ni kuifumua fumua iliyopo then tujenge nyingine of which it will take years kwanza kuijenga system yenyewe na pili ku badili mindset ili ziwe in consistent na hiyo system.
 
pole kwa kufanya utafiti huo japo ningekushauri siku nyingine kabla ya kutoa majibu kwa wanajamii ungeenda mbali zaidi hata kuwaona watu kama katibu wa afya wa hospitali hiyo na medical officer incharge kumpatia taarifa hizo ili kusaidia kuondoa kero kama hizi

Mimi na mimi ni mfanyakazi. Quess how long will it take kumwona mtu kama huyu haswa anapojua unakuja kujadili suala ambalo linapingana au kukosoa badala ya kupongeza ofisi yake. Quess possiible pretex kama: "katoka urudi kesho, yuko wodini, yuko kwenye emergence , yuko kwenye semina, yuko kwenye kikao cha dharura atatoka sasa hivi au muda si mrefu, yuko off njoo kesho kutwa, amefiwa amekwenda kwenye msiba wa mfanyakazi mwenziye, ana matatizo ya kifamilia, leo hajyupo anaumwa jaribu kesho kuanzia saa sita'" etc. Sasa hivi ndivyo taasisi zetu zinavyofanya kazi kwa hiyo kwa mtu uliyeko busy huwezi kupoteza muda wako wakati tayari unajua outcome itakuwa kitu gani ni bora tu nitumie media mbalimbali kuwasema na kama wasipojirekebisha "Corrective measures" nyingine bora zaidi zinaweza kutumika.
 
Mvumbuzi hukujibu maswali yangu.
Mgonjwa wako ana diagnosis gani?
Tunaweza kukusaidia ushauri kwa nini alipewa/kunyimwa drip na kupewa discharge ili khali wewe unaona anatakiwa kubaki.
 
Best kaguswa yaliyomkuta. Ama unafikiri ni madogo?? Mpk aende kwa icharge wa hapo si atakuwa hata amesahau sura ya yule nesi. Unawakumbuka wale wanamziki wa kibogo walivyowasemaga madaktari (WALE WAGOSI WA KAYA) Wauguzi na manesi! Hata wale bila shaka walifikwa na mzito kama haya. Acha jamaa alipuke kbs!
 
Jackbauer hoja yako ya kusema mtu kama hajatendewa haki aende mahakamani haipo kwani najua wewe siyo mgeni wa mahakama. What will happen ni ninyi manesi na madaktari mataji-mobilise mtafute wakili na kwenda kuwaonga mahakimu na wewe mwenyewe unajua nini kitatokea wakati watu mia watakapokuwa wanatoa ushahidi dhidi ya watu watatu au kumi ambao source zao za income na uwezo wao kifedha ni very uncertain.

Nafikiri kuendelea kusemana ndiyo njia iliyobaki na tutaendelea ku shout kwa kutumia all means at our disposal hadi pale kilio chetu kitakapofika mahali muafaka kwa ajili ya radical and favourable changes.

mvumbuzi yaonekana wewe unaishi kinadharia sana,na ni mtu wa kusikiliza maneno ya mtaani.inaelekea kabla ya kwenda mt meru ulisikia madaktari ni wauaji kwa hiyo chochote alichokifanya daktari ulikiona kinahusiana na mauaji ya mgonjwa wako,you were preoccupied with this wrong idea!
Hapa pia unaanza kuihisi mahakama haitakutendea haki hivyo siku utakayofika mahakamani utaona yote yanayofanyika si haki.
Try to look at the glass as half filled and not half empty.
Nakubaliana na wewe kupitia sauti unaweza kuleta mabadiliko lakini kamwe huwezi kushawishi mabadiliko kwa kutumia lugha za kihuni au kidhalilishaji.
Imagine madaktari wa mt meru waseme liwalo na liwe sasa wanaanza rasmi kuneglect wagonjwa kwa sababu hata wafanye kazi vipi reward wanayopata ni kejeli na dharau,unadhani utakua umeleta mabadiliko chanya au hasi?
Tafakari!
 
Jackbauer hoja yako ya kusema mtu kama hajatendewa haki aende mahakamani haipo kwani najua wewe siyo mgeni wa mahakama. What will happen ni ninyi manesi na madaktari mataji-mobilise mtafute wakili na kwenda kuwaonga mahakimu na wewe mwenyewe unajua nini kitatokea wakati watu mia watakapokuwa wanatoa ushahidi dhidi ya watu watatu au kumi ambao source zao za income na uwezo wao kifedha ni very uncertain.

Nafikiri kuendelea kusemana ndiyo njia iliyobaki na tutaendelea ku shout kwa kutumia all means at our disposal hadi pale kilio chetu kitakapofika mahali muafaka kwa ajili ya radical and favourable changes.

mvumbuzi yaonekana wewe unaishi kinadharia sana,na ni mtu wa kusikiliza maneno ya mtaani.inaelekea kabla ya kwenda mt meru ulisikia madaktari ni wauaji kwa hiyo chochote alichokifanya daktari ulikiona kinahusiana na mauaji ya mgonjwa wako,you were preoccupied with this wrong idea!
Hapa pia unaanza kuihisi mahakama haitakutendea haki hivyo siku utakayofika mahakamani utaona yote yanayofanyika si haki.
Try to look at the glass as half filled and not half empty.
Nakubaliana na wewe kupitia sauti unaweza kuleta mabadiliko lakini kamwe huwezi kushawishi mabadiliko kwa kutumia lugha za kihuni au kidhalilishaji.
Imagine madaktari wa mt meru waseme liwalo na liwe sasa wanaanza rasmi kuneglect wagonjwa kwa sababu hata wafanye kazi vipi reward wanayopata ni kejeli na dharau,unadhani utakua umeleta mabadiliko chanya au hasi?
Tafakari!
 
Jamani hz ni kashfa.i know dr.israel personally as a friend and a workmate huyo mgonjwa ugonjwa wake (sitausema sababu ya doctor patient confidetiality) hatuwezi kuutibu hapa mt meru na inabidi aende kcmc fr further management.doctor kushauriana na nesi wake si kitu cha ajabu.plz rekebisha hiyo post yako na umuombe msamaha
 
Alafu mgonjwa alishatibiwa selian na mkapewa transfer kuenda ocean road kilichokufanya umlete mt meru ni nini?kilichokufanya kushindwa kumtibu hospitalini kwako ni nini kama alikuwa anahitaji drip tu?kuna umuhimu wa kuenda kuupgrade elimu yako au na wewe ni nesi?kama unaona umeonewa naomba ukalalamike kwa medical officer in charge ukalalamike
 
Mimi na mimi ni mfanyakazi. Quess how long will it take kumwona mtu kama huyu haswa anapojua unakuja kujadili suala ambalo linapingana au kukosoa badala ya kupongeza ofisi yake. Quess possiible pretex kama: "katoka urudi kesho, yuko wodini, yuko kwenye emergence , yuko kwenye semina, yuko kwenye kikao cha dharura atatoka sasa hivi au muda si mrefu, yuko off njoo kesho kutwa, amefiwa amekwenda kwenye msiba wa mfanyakazi mwenziye, ana matatizo ya kifamilia, leo hajyupo anaumwa jaribu kesho kuanzia saa sita'" etc. Sasa hivi ndivyo taasisi zetu zinavyofanya kazi kwa hiyo kwa mtu uliyeko busy huwezi kupoteza muda wako wakati tayari unajua outcome itakuwa kitu gani ni bora tu nitumie media mbalimbali kuwasema na kama wasipojirekebisha "Corrective measures" nyingine bora zaidi zinaweza kutumika.

umewahi kujaribu ikawa hivyo au unaextrapolate mazungumzo ya kwenye vijiwe vya kahawa?
 
Alafu mgonjwa alishatibiwa selian na mkapewa transfer kuenda ocean road kilichokufanya umlete mt meru ni nini?kilichokufanya kushindwa kumtibu hospitalini kwako ni nini kama alikuwa anahitaji drip tu?kuna umuhimu wa kuenda kuupgrade elimu yako au na wewe ni nesi?kama unaona umeonewa naomba ukalalamike kwa medical officer in charge ukalalamike

mkuu chonde chonde!najua hii ishu itakua imekugusa sana!na ukweli inatia kichefuchefu.lakini kumbuka mbwatukaji sio mgonjwa bali ni ndugu wa mgonjwa ambaye ni 'mjuaji' na asiye na shukrani.basi ninachokuomba umantain confidentiality ya mgonjwa.muweke mgonjwa pembeni ktk sakata hili!
 
Alafu mgonjwa alishatibiwa selian na mkapewa transfer kuenda ocean road kilichokufanya umlete mt meru ni nini?kilichokufanya kushindwa kumtibu hospitalini kwako ni nini kama alikuwa anahitaji drip tu?kuna umuhimu wa kuenda kuupgrade elimu yako au na wewe ni nesi?kama unaona umeonewa naomba ukalalamike kwa medical officer in charge ukalalamike

mkuu chonde chonde!najua hii ishu itakua imekugusa sana!na ukweli inatia kichefuchefu.lakini kumbuka mbwatukaji sio mgonjwa na ndugu wa mgonjwa ambaye ni 'mjuaji' na asiye na shukrani.basi ninachokuomba umantain confidentiality ya mgonjwa.muweke mgonjwa pembeni ktk sakata hili!
 
mfumo huu unaosema sio unique kwa taasisi unayofanyia kazi bali ni universal hata mt meru upo,sasa wewe kwa makusudi umeamua ku-ignore kwa kisingizio madaktari eti wanateteana!kwa taarifa hakuna proffesionals wasioteteana but mtu hutetewa iwapo hajakiuka maadili na miiko ya proffession husika.nenda katoe feedback ya huduma aliyopewa mgonjwa wako hapo hospital, utaonekana jasiri,muungwana na mpenda maendeleo but kuja hapa jf na ku-smear mtu au taasisi inaonyesha usivyokuwa mstaarabu na mstahimilivu.

JF ni medium muafaka ya watu kushare experiences zao ktk maisha kama mtoa hoja alivyofanya. Swala la kusema angeenda kutoa taarifa linaonyesha jinsi analytical skills zako zilivyo ndogo ktk agenda husika.

Kama ungekuwa positive ktk hili basi ungelifanyia kazi na si kutetea kutowajibika.

Nimefuatilia exchange zako kinachonishangaza ni kwamba zaidi ya swala ku-smear mtu au taasisi hakuna kitu positive ulichopata ktk hiyo thread juu ya huduma hapo Mount Meru hususani kutoka kwa huyo dk husika. Why are you defensive?

Unaonekana kutokubaliana na mtoa hoja je ulikuwepo wakati hiyo incident inatokea?

Nadhani mtoa hoja alikuwa na nia njema tu ya kuweka wazi kilicho transpire. Swala la kusema ana smear mtu au taasisi ni moja kati weakness kubwa sana kwa watu wasioweza kujibu hoja za msingi.
 
Heshima kwako Mvumbuzi,

Mkuu leo nimepita Mt Meru Hospital nimedodosa habari ulizozileta jamvini nimegundua mambo yafuatayo.

Dr Israel simwajiriwa wa Mt Meru Hospital yuko kwaajili ya mazoezi [Internship].

Mkuu Dr Israel ni mchapakazi na hodari sana hana sifa mbaya ,mambo uliyoandika yana lengo la kumharibia.Nimeuliza watu wengi tena vitengo tofauti eg Maabara,X-Rays na Paramedical ilikujiridhisha na uchunguzi wangu usiokuwa rasmi.

Naomba kuwasilisha.
 
Ngongo hapo umeharibu,ugonjwa wa mgonjwa hatuudiscuss bila ridhaa yake na wala hakuwa na huo ugonjwa wa kisasa.ila kuhusu ufanyakazi wa dr isra nakuunga mkono.@ jack baeur inauuma sana coz tunahangaikia wagonjwa kwa moyo moja na hata sometimes we go an extra mile to ensure their survival.huyo mwanzlishi wa mada halijui hilo and its very unfair kuitwa wauaji wakati tunahangaika ucku na mchana.mt meru ina kasoro zake like any other goverment hospital.comment za mwanzilishi wa mada na wanao msupport ni offensive na zinatuvunja moyo hata katika kutoa huduma nzuri kwa wagonjwa coz @ the end of the day,ufanye vizuri or vibaya bado tunalaumiwa
 
Ngongo hapo umeharibu,ugonjwa wa mgonjwa hatuudiscuss bila ridhaa yake na wala hakuwa na huo ugonjwa wa kisasa.ila kuhusu ufanyakazi wa dr isra nakuunga mkono.@ jack baeur inauuma sana coz tunahangaikia wagonjwa kwa moyo moja na hata sometimes we go an extra mile to ensure their survival.huyo mwanzlishi wa mada halijui hilo and its very unfair kuitwa wauaji wakati tunahangaika ucku na mchana.mt meru ina kasoro zake like any other goverment hospital.comment za mwanzilishi wa mada na wanao msupport ni offensive na zinatuvunja moyo hata katika kutoa huduma nzuri kwa wagonjwa coz @ the end of the day,ufanye vizuri or vibaya bado tunalaumiwa

Heshima kwako Dr Chichi,

Mkuu nimeambiwa na watu wa maabara sijaziokota barabarani.Nakubaliana na wewe ugonjwa ni siri baina ya mgonjwa na Dr ebu niambie mgonjwa akifariki bado siri inaendelea kutunzwa ?.Mbona tunajadili ugonjwa wa marehemu Mwl Nyerere ? Mbona tunajadili magonjwa ya marehemu kibao iwe ndugu jamaa na marafiki.

Simfahamu Dr Israel wala sina sababu ya kumtetea hata kidogo ndio maana nikamwambia mleta mada nitarejea.
 
JF ni medium muafaka ya watu kushare experiences zao ktk maisha kama mtoa hoja alivyofanya. Swala la kusema angeenda kutoa taarifa linaonyesha jinsi analytical skills zako zilivyo ndogo ktk agenda husika.

Kama ungekuwa positive ktk hili basi ungelifanyia kazi na si kutetea kutowajibika.

Nimefuatilia exchange zako kinachonishangaza ni kwamba zaidi ya swala ku-smear mtu au taasisi hakuna kitu positive ulichopata ktk hiyo thread juu ya huduma hapo Mount Meru hususani kutoka kwa huyo dk husika. Why are you defensive?

Unaonekana kutokubaliana na mtoa hoja je ulikuwepo wakati hiyo incident inatokea?

Nadhani mtoa hoja alikuwa na nia njema tu ya kuweka wazi kilicho transpire. Swala la kusema ana smear mtu au taasisi ni moja kati weakness kubwa sana kwa watu wasioweza kujibu hoja za msingi.

jf ni home of great thinkers sio sehemu ya kushare experience za maisha (probably you are confusing Jf and facebook)
upeo wako finyu unajidhihirisha kwenye statement yako ya kwanza ndio unaokufanya useme analytic skills zangu ni ndogo.hakuna sehemu nimekuwa defensive!sijatetea na sitatetea kutowajibika kwa daktari au nesi muhusika,ninachopinga ni ubebeshaji wa lawama kwa madaktari na taasisi ya mt meru wakati aliyehusika ni mmoja au wawili,hakuna sehemu muanzisha thread ameonyesha mgonjwa aliyekufa na kifo hicho kimesababishwa na dr. Wa mt meru.au labda wewe umeona unionyeshe?
Show me one statement ambayo unafikiri ni positive!
Wakati incidence inatokea sikuwepo lakini jamaa amesema alirekodi kila kitu basi aweke hapa ili tuone kama video hiyo itaprove kuwa madaktari ni wauaji.
kwa sisi great thinkers you dont need to be at the site, to understand the whole scene.jinsi title ya thread ilivyo tu unajua jamaa ameleta jungu!

Siamini kama alikuwa ana nia njema ya kuweka wazi kilichotokea bali nia yake ni kusema mt meru ni hosp mbaya na yenye madaktari wauaji!
 
Dr. Chichi, ujue kabisa katika kazi yoyote hata ya kusukuma mkokoteni kuna changamoto zake. Hivyo maoni ya mtoa mada unatakiwa uyaone kama changamoto na ni wakati wako wa kutoa elimu kwa mwanajamii kama huyu kwa yale mambo ambayo unahisi ameyaelewa ndivyo sivyo badala ya kulalamika. Ujue pia kazi ya huduma haswa kama yenu mnakutana na watu waliochanganyikiwa kutokana na kuuguliwa na wapendwa wao, hapo ni wakati wenu kuonyesha upendo kwao. Jiulize Dr. mnafanya hivyo !? Ninajua kazi yenu ni ya WITO ila je, ni wote wana wito?
 
Ngongo hapo umeharibu,ugonjwa wa mgonjwa hatuudiscuss bila ridhaa yake na wala hakuwa na huo ugonjwa wa kisasa.ila kuhusu ufanyakazi wa dr isra nakuunga mkono.@ jack baeur inauuma sana coz tunahangaikia wagonjwa kwa moyo moja na hata sometimes we go an extra mile to ensure their survival.huyo mwanzlishi wa mada halijui hilo and its very unfair kuitwa wauaji wakati tunahangaika ucku na mchana.mt meru ina kasoro zake like any other goverment hospital.comment za mwanzilishi wa mada na wanao msupport ni offensive na zinatuvunja moyo hata katika kutoa huduma nzuri kwa wagonjwa coz @ the end of the day,ufanye vizuri or vibaya bado tunalaumiwa

Dr.heshima yako!
Upole,ukimya,maadili na u-busy wa kazi yenu ndio chanzo cha kupunjwa stahili zenu na wanasiasa,kuchekwa na wananchi kwa sababu mnakimbilia daladala huku shati likiwa na mijasho licha ya kusoma miaka mingi
na sasa kuhukumiwa na ndugu wa wagonjwa eti sasa mmekuwa wauaji!poleni sana!!
mnaweza kuendelea kuvumilia au sasa mzinduke na kutoa madukudu yenu au kutoa elimu kwa umma.
 
Mvumbuzi na watu wengine wanaoponda wahudumu wa afya:

Wahudumu wa afya wa-kitanzania wanafanya kazi wke mazingira magumu sana. Hamna nyenzo wala vitendea kazi, dawa na matumizi mengine yapo at minimum level, watu kibao wazee, wenye chronic disease, watoto wanaambiwa huduma ni bure kila kitu kipo lakini hakipo. Sasa mkishashibiswa na wanasiasa uchwara hasira zenu mnazipeleka kwa wahudumu wa afya.

Kitu kimoja nitakachokwambia ni kuwa kama kweli unaumwa SERIOUSLY SICK hauwezi kupona kama madaktari na manesi hawajatumia nguvu zao za ziada kuhakikisha kuwa wanakusaidia. And you know what you can get the basics ukafa na hata uchunguzi ukifanyika itaonekana ulihudumiwa ila mungu akakuchukua. Ni jukumu letu kama jamii ku-appreciate what we are getting badala ya kutumia mfano mmoja kukandia institution nzima. Trafic naweza kufanya nusu nusu no one dies, walimu wanaweza kuwa partial ukaongezea twisheni au ukarudia darasa ila mtu wa afya akiwa partial na ukawa unaumwa kweli UMEKWENDA!

That said unajua kwa kuwa call usiku mzima daktari anatakiwa apate half per diem lakini mpaka sasa hardly wanapata elfu kumi kama sio 2000 tena baada ya kama miezi tisa na migogoro mingi?

Udaktari is a noble profession lakini sio WITO. Wito ni upadre na Utawa. Hawa madocta wanamatumizi kama watu wengine na jukumu la serikali kuhakikisha wanapata mahitaji yao ili waweze kuendelea kuwahudumia watanzania. Kama wanasiasa wa pale wizarani wanaenda two street down the block Kempiski halafu wanakaa kwe seminar kwa masaa nane saa za kazi and then wanajilipa per diem ni upuuzi, and then unamwambia yule aliyepo kazini ni Wito!

Nimeona niweka hata kama ni word salad hapa kuongelea perspectives mbalimbali zilizojitokeza kwa huu mjadala. Mvumbuzi anaamini akija kutaja watu hapa JF ndo anajenga fani ya afya hata mahakamani akienda hasaidiki maana napo watakula cha juu. Kwa kweli kazi tunayo.
 
Back
Top Bottom