Madaktari wauaji Mt. Meru Hospital arusha

Mvumbuzi nainze kwa kuuliza mgonjwa wako uliyekuwa unamwombea drip ana diagnosis gani? Unajuaje kama hivo drip zingeendela ndo zingemuua hata kabla ya hiyo njaa? Unajua shida ya wau wengine ni kupenda kurukia rukia vitu kama moto wa masago. Kama fani hauijui tuliza kipago na utafuta information za kutosha kabla ya kutokea ukumbini na kuanza kulaumu kila mtu. Ulichofanya hapa ni generalization kwa wahudumu wa afya bila kujali kwamba katika nchi hii kuna watu wanafanya kazi katika mazingira magumu kwa kujitolea kwa hali ya juu ili kuokoa maisha ya Wadanganyika. I do not care kama uta-retract your statements au utaziacha that is up to you.

I smell a dead fish here: Unalijua jina la daktari vizuri lakini it seems jina la nurse ambaye ndo aliongoza kwa kukufanyia uhuni hautaki kulitaja ila kutumia vague description ya mmachame mweupe. Kwa nini nisamini kuwa una ugomvi binafsi na huyu daktari uliyemtaja na nia yako ni kumchafulia jina tu? Kama wewe ni mtu makini na umeamua kutaja majina mbona hukutaje yote? Ya watu waliokuterorize?

Halafu unaendela kulalamika kuwa daktari kajaza discharge kaweka kwe file. That is where they are put. Na alichofanya ndo sahihi. Anajaza anaweka kwe file Nurse na attendant wataangalia katoa maagizo gani wanatekeleza na hiyo discharge form kama inavyosema. Anaweza akachelewa kujaza kama kwa mfano kuna mtu kazidiwa ahwezi kuendelea kuandika discharge ili uende nyumbani wakati mwenzio anakufa. Anaenda kule kwe emergency. Wewe kusubiri discharge basi unaona kama huyo daktari alikuwa nacheza bao sio?

Unaweza kuwa na malalamiko ila ulivyoyaweka hapa jamvini behind the veil bila kujulikana wewe ni nani, malalamiko yako yalivyokaa kushoto kushoto. kukosekana kwa details nyingi za msingi inanifanya nikuone tu kama mmojawapo wa watu wasiokuwa makini.

Daktari mmoja anahudumia watu 30000 WHO inashauri wawe 7500 hiyo ni 4x ya idadi inashauriwa na WHO kazi ni nyingi na mambo ni mengi kama unataka utibiwe akikuchekea you are in a wrong place 300 people wanasubiri attention yake and tehre is no time to waste bro/sister. Rudi tena Mount meru record evidence nenda mahakamani au leta hapa jamvini tuone hayo unayoyasema.

Ukishajibu maswali yangu hapo juu naweza kukuongezea kashauri kadoogoo cha kukusaidia kwa siku za baadae ukiwa na mgonjwa aka ukiumwa.
 
Ningetaka kurefusha mambo ndo ningekwenda kulalamika mkuu ila ninavyojua taasisi nyingi za serikali including yours wana STATUS QUO ambayo wana operate tangu nchi ilipopata uhuru kwa hiyo kutoa malalamiko kama hayo wangenishangaa kwani hiyo ndiyo organisational culture yao. Hii pia ni sawa na kesi ya nyani kupeleka kwa ngedere kwani lazima mlalamikaji apoteze kesi.

sishangai kusikia haya kutoka kwako!ndio attitude waliojijengea watanzania wengi,ndio chanzo cha rushwa!wewe hujawahi kutafuta haki yako kwa kufuata utaratibu thats why unaogopa au kuwa na mashaka na utaratibu huu.jaribu siku moja kudai haki yako na utaona ilivyo rahisi!usiogope hata polisi unaweza kumuwajibisha akikukosea!
 
Mvumbuzi nainze kwa kuuliza mgonjwa wako uliyekuwa unamwombea drip ana diagnosis gani? Unajuaje kama hivo drip zingeendela ndo zingemuua hata kabla ya hiyo njaa? Unajua shida ya wau wengine ni kupenda kurukia rukia vitu kama moto wa masago. Kama fani hauijui tuliza kipago na utafuta information za kutosha kabla ya kutokea ukumbini na kuanza kulaumu kila mtu. Ulichofanya hapa ni generalization kwa wahudumu wa afya bila kujali kwamba katika nchi hii kuna watu wanafanya kazi katika mazingira magumu kwa kujitolea kwa hali ya juu ili kuokoa maisha ya Wadanganyika. I do not care kama uta-retract your statements au utaziacha that is up to you.

I smell a dead fish here: Unalijua jina la daktari vizuri lakini it seems jina la nurse ambaye ndo aliongoza kwa kukufanyia uhuni hautaki kulitaja ila kutumia vague description ya mmachame mweupe. Kwa nini nisamini kuwa una ugomvi binafsi na huyu daktari uliyemtaja na nia yako ni kumchafulia jina tu? Kama wewe ni mtu makini na umeamua kutaja majina mbona hukutaje yote? Ya watu waliokuterorize?

Halafu unaendela kulalamika kuwa daktari kajaza discharge kaweka kwe file. That is where they are put. Na alichofanya ndo sahihi. Anajaza anaweka kwe file Nurse na attendant wataangalia katoa maagizo gani wanatekeleza na hiyo discharge form kama inavyosema. Anaweza akachelewa kujaza kama kwa mfano kuna mtu kazidiwa ahwezi kuendelea kuandika discharge ili uende nyumbani wakati mwenzio anakufa. Anaenda kule kwe emergency. Wewe kusubiri discharge basi unaona kama huyo daktari alikuwa nacheza bao sio?

Unaweza kuwa na malalamiko ila ulivyoyaweka hapa jamvini behind the veil bila kujulikana wewe ni nani, malalamiko yako yalivyokaa kushoto kushoto. kukosekana kwa details nyingi za msingi inanifanya nikuone tu kama mmojawapo wa watu wasiokuwa makini.

Daktari mmoja anahudumia watu 30000 WHO inashauri wawe 7500 hiyo ni 4x ya idadi inashauriwa na WHO kazi ni nyingi na mambo ni mengi kama unataka utibiwe akikuchekea you are in a wrong place 300 people wanasubiri attention yake and tehre is no time to waste bro/sister. Rudi tena Mount meru record evidence nenda mahakamani au leta hapa jamvini tuone hayo unayoyasema.

Ukishajibu maswali yangu hapo juu naweza kukuongezea kashauri kadoogoo cha kukusaidia kwa siku za baadae ukiwa na mgonjwa aka ukiumwa.

Ukitaka kunijua naweza tu kukuagizia ofisini kwangu ukaja. Nimeshasema na narudia sina kisasi na huyu dokta. Hizo dharura unazosema alikuwa anazi-attend hazikuwepo by that time. Pia alinidanganya ndugu wa mgonjwa kwa kusema " aisee ndo naindika eh!!" na akatoka kama anakwenda nje akiwa ameshika carbon paper na kalamu na for the next one hour na the rest of the time ikawa ndo mara ya mwisho kumwona hadi nilipoamua kuandika kisa hiki. Suala la wingi wa wagonjwa linafahamika na pia najua idadi ya madktari tuliyonayo TZ ni ndogo kuliko standard za WHO je kwa sababu hiyo ndo iwe justification ya kufanya mambo unprofessional. Kumbuka argument yangu kubwa siyo tu discharge kuchelewa bali the overall handling ya mgonjwa.
 
Mkuu sioni kama umetumia busara kumuita dr.israel kasago muuaji!nina hakika huwezi kuthibitisha hizo accusation zako la sivyo ungeenda mahakamani.unafahamu madhara ya kumuwekea mtu drip za glucose kwa saa 24??nadhani ulikuwa na jazba kama inavyojidhihirisha kwenye thread yako,ungepunguza hasira na kuongea na huyu dr
watanzania wengi tunaenda kwenye hospitali za serikali tukiwa na fikra(hisia) za kupata huduma mbovu kitu ambacho ni kinyume na wengi tunavyohisi.
Unatoa majibu kama wanasiasa? Hata hapa ni mahakama ya umma.
 
issues kama hizi zina sababu kibao.
Upande mmoja ni wahudumu wa afya kama alivyosema mdau; wahudumu hawaongei vizuri na wagonjwa na ndugu zao either kuwapa education ama counseling, na kuwaambia nini kinafanyika na kwa nini.
Upande mwingine ni wagonjwa na ndugu zao; wako ignorant (inarudi kwa wahudumu kiasi fulani) ama wana frustrations na preconceptions kibao.
Kwa mfano; mie nashindwa kumuelewa mtoa habari akisema "eti" mgonjwa hakuwa na tatizo isipokuwa la chakula tu, how in the hell does she come with such a conclusion? watu hawaanzi kushindwa kumeza tu for God's sake, wanakuwa wana matatizo mengine makubwa - cancer kama ya esophagus, esophageal candidiasis shauri ya ngoma ni baadhi tu ya mifano. Hivyo unayemuona anahitaji chakula tu ni "ndivyo sivyo" na issues zingine katika mwili wake.
Hiyo point tuiache; kuja na conclusion kuwa madaktari na manesi wauaji kutoka kwenye case yako moja ndio unatoa conclusion pia si sahihi; ukifanya survey waweza kukuta watu kibao washasaidiwa na kupona hapo .... kwa hiyo case yako ni unique tu imetokea by chance na tukimpa nesi au daktari muda wa kujibu tunaweza kujua story kamili na kujua kumbe unayosema sio.
Pole kama uncle wako alikufa.
Mahakama zipo, kashtaki ingawa aliyekufa harudi lakini utakuwa umesaidia watu wangine wasiuawe na kumfanya daktari apate fundisho!
Lakini kama unasema shauri ya frustrations za kufiwa, (na za maisha in general) utabaki kulalamika na kupakaza jamiiforums - haikusaidii! Na unaharibu zaidi, utasababisha watu wasiende hospitali wakiumwa waanze kwenda loliondo.


f*&K
 
aaaaan sasa hawa watu tabia zao zinazid...kinachotakiwa ni kuanzisha taasisi ya maadili ya wahudumu wa afya itakayo function kama vile inavyo function ile ya rushwa PCCB, WAKIKAMATWA WANYANGANYWE VYETI NA LESENI ZA KAZI...kisha kifungo cha miaka kama mitatu hivi ili iwe funzo kwa wengine....wizara ya afya kazi kwenu wazo hilo
 
aaaaan sasa hawa watu tabia zao zinazid...kinachotakiwa ni kuanzisha taasisi ya maadili ya wahudumu wa afya itakayo function kama vile inavyo function ile ya rushwa PCCB, WAKIKAMATWA WANYANGANYWE VYETI NA LESENI ZA KAZI...kisha kifungo cha miaka kama mitatu hivi ili iwe funzo kwa wengine....wizara ya afya kazi kwenu wazo hilo

Taasisi kama hiyo ipo ni Tanganyika Medical Council, na mahakama zipo vilevile - hivyo ni changamoto kwa wanaoona wamefanyiwa kinyume na haki zao kwenda huko kudai haki itendeke.
 
Taasisi kama hiyo ipo ni Tanganyika Medical Council, na mahakama zipo vilevile - hivyo ni changamoto kwa wanaoona wamefanyiwa kinyume na haki zao kwenda huko kudai haki itendeke.

sasa hapo wanacheza na maisha ya watu, hiyo taasis basu inakula hela no sio effective
 
issues kama hizi zina sababu kibao.
Upande mmoja ni wahudumu wa afya kama alivyosema mdau; wahudumu hawaongei vizuri na wagonjwa na ndugu zao either kuwapa education ama counseling, na kuwaambia nini kinafanyika na kwa nini.
Upande mwingine ni wagonjwa na ndugu zao; wako ignorant (inarudi kwa wahudumu kiasi fulani) ama wana frustrations na preconceptions kibao.
Kwa mfano; mie nashindwa kumuelewa mtoa habari akisema "eti" mgonjwa hakuwa na tatizo isipokuwa la chakula tu, how in the hell does she come with such a conclusion? watu hawaanzi kushindwa kumeza tu for God's sake, wanakuwa wana matatizo mengine makubwa - cancer kama ya esophagus, esophageal candidiasis shauri ya ngoma ni baadhi tu ya mifano. Hivyo unayemuona anahitaji chakula tu ni "ndivyo sivyo" na issues zingine katika mwili wake.
Hiyo point tuiache; kuja na conclusion kuwa madaktari na manesi wauaji kutoka kwenye case yako moja ndio unatoa conclusion pia si sahihi; ukifanya survey waweza kukuta watu kibao washasaidiwa na kupona hapo .... kwa hiyo case yako ni unique tu imetokea by chance na tukimpa nesi au daktari muda wa kujibu tunaweza kujua story kamili na kujua kumbe unayosema sio.
Pole kama uncle wako alikufa.
Mahakama zipo, kashtaki ingawa aliyekufa harudi lakini utakuwa umesaidia watu wangine wasiuawe na kumfanya daktari apate fundisho!
Lakini kama unasema shauri ya frustrations za kufiwa, (na za maisha in general) utabaki kulalamika na kupakaza jamiiforums - haikusaidii! Na unaharibu zaidi, utasababisha watu wasiende hospitali wakiumwa waanze kwenda loliondo.


f*&K

Angalia kwanza ulivyokosa adabu hapo kwenye red kwani umejaribu kueleza mambo lakini mwishoni ukaishia ku delete kwani it seem akili yako ilivyo oza. Na kwa mtu kama wewe siwezi hata kidogo kuchukulia comments zako serious kwani you're still mentally immature and spiritually rotten. Tukuweke kwenye group ya wabuya unga, wavuta bangi, na wanywao pombe chafu kiasi cha kuifanya akili yako itoe uozo. Pia usidandie mambo usiyoyajua ungesoma hii thread tangu mwanzo uaone nimesema siyo mgonjwa wangu tu aliyekuwa mistreated kwani watu wengi walikuwa wanalalamika na kwa sababu walionekana hawawezi kwenda popote kutokana na wengi wao kuwa wa kiwango cha chini kielimu na kipato. Watu hao wakipata wasemaji na sehemu ya kusikilizwa utashangaa mambo yatakayosemwa ila kwa sababu hawajui wafanye nini hubakia na uchungu na machozi yao huwa kama ya samaki.

Ipo siku itatokea confrontation hapo hospitali kati ya wagonjwa au ndugu wa wagonjwa na baadhi ya madaktari na hao manesi mnao watetea ndo mtajua ninachoongea. Kama mnamwona mgonjwa haelewi kwa nini decision fulani inafanyika basi nyie kama wataalamu mwelewesheni kuliko kumwambia tu tuna ku-discharge wakati mgonjwa bado hali yake siyo nzuri.
 
aah!sikujua kama jf ni mahakama ya kijamii,asante kwa kunikumbusha.


Jackbauer hoja yako ya kusema mtu kama hajatendewa haki aende mahakamani haipo kwani najua wewe siyo mgeni wa mahakama. What will happen ni ninyi manesi na madaktari mataji-mobilise mtafute wakili na kwenda kuwaonga mahakimu na wewe mwenyewe unajua nini kitatokea wakati watu mia watakapokuwa wanatoa ushahidi dhidi ya watu watatu au kumi ambao source zao za income na uwezo wao kifedha ni very uncertain.

Nafikiri kuendelea kusemana ndiyo njia iliyobaki na tutaendelea ku shout kwa kutumia all means at our disposal hadi pale kilio chetu kitakapofika mahali muafaka kwa ajili ya radical and favourable changes.
 
CUSTOMER CARE!!!!!!!! CUSTOMER CARE!!!!!!

Nafikiri tuna tatizo kubwa la Customer Care, sehemu nyingi watoa huduma hawatekelezi wajibu wao sawasawa. Pamoja na kuwanyooshea vidole watoa huduma wa hospitali, hebu tuanze na sisi wenyewe katika sehemu zetu za kutoa huduma. Je tunawatendea vyema wateja wetu? Naamini kila mmoja wetu akianza kuchukua hatua katika eneo lake la kazi basi tutaweza kuondokana na tatizo hili.
 
sioni kama ni sawa kusema kwa ujumla kuwa madaktari ni wauaji,kwani tunao wengi wanaowajibika vizuri.inawezekanaje kuhitimisha kuwa madaktari ni wauaji kwa kutumia dr.mmoja?matatizo ya uwajibikaji wa madaktari wetu sio la kwao tu bali ni tatizo la wafanyakazi wengi wa serikali ktk sekta karibu zote hii pengine ni tatizo la mfumo wa uongozi wetu.kama ukiongelea mambo ya rushwa hospitalini,hili ni tatizo ambalo liko kwenye ofisi nyingi na hapo ndio utagundua kuwa ni mfumo wetu ndio una matatizo hili tulilea kwa muda mrefu sana,nakumbuka kuna kipindi ilipewa jina TAKRIMA hali iliyofanya ionekana ni kitu cha kawaida.
Kwa mazingira ya hospitali inawafanya wenye wagonjwa na wagonjwa wenyewe waone ni vema wawatakrimu manesi/madokt.na kwa hali ya kipato cha manesi/madokt. na mfumo wa nchi ulivyo wanajikukuta wakishawishika.
Tuombe mungu atusaidie tuweze kubadili mfumo ambao ni pamoja na kuwa katiba mpya na serikali inayowajibika na kujali maslahi ya wafanyakazi.
 
CUSTOMER CARE!!!!!!!! CUSTOMER CARE!!!!!!

Nafikiri tuna tatizo kubwa la Customer Care, sehemu nyingi watoa huduma hawatekelezi wajibu wao sawasawa. Pamoja na kuwanyooshea vidole watoa huduma wa hospitali, hebu tuanze na sisi wenyewe katika sehemu zetu za kutoa huduma. Je tunawatendea vyema wateja wetu? Naamini kila mmoja wetu akianza kuchukua hatua katika eneo lake la kazi basi tutaweza kuondokana na tatizo hili.

Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani ila tukiliweka hili ki- customer care tutakuwa kibiashara zaidi. Patient doctor relationship ni suala sensitive zaidi jamani na tusiliweke kimtindo wa customer care. Kwani unajua kama hoteli au duka au chombo cha usafiri hakitoi huduma nzuri unaweza kwenda sehemu nyingine au uka drop, au ukatafuta alternative ya ile commodity au service sehemu nyingine. Lakini suala la ugonjwa ni suala sensitive na la emergence kwani hakuna mtu anayefanya decision kwamba leo nataka niiugue au ndugu yake augue kama tunavyofanya kununua bidhaa fulani. Ingekuwa hivyo basi hospitali za serikali kama mount Meru zingekufa kwani hakuna mtu ambaye angepanga kwenda kununua au kupata service sehemu ambayo huduma ni mbaya. Suala la ugonjwa sio la kupanga wala la furaha ila linamkuta mtu pale system au sehemu fulani ya mwili inapo shindwa ku function inavyotakiwa then unalazimika kwenda hospitali wakati huna budget ya hiyo huduma. Matokeo yake unajikuta huna choice zaidi ya kutafuta sehemu ambayo service inapatikana kwa bei nafuu ili usife kama hospitali za serikali. Hili kimbilio la wanyonge lipokuwa abused na staff wanaoshindwa kufanya wanachotakinachotakiwa ni sawa na kuwa a killer in the robe of benevolent person ambaye wrongly watu wanamwona kama kimbilio kumbe kwa ndani they are absolutely Not.
 
sioni kama ni sawa kusema kwa ujumla kuwa madaktari ni wauaji,kwani tunao wengi wanaowajibika vizuri.inawezekanaje kuhitimisha kuwa madaktari ni wauaji kwa kutumia dr.mmoja?matatizo ya uwajibikaji wa madaktari wetu sio la kwao tu bali ni tatizo la wafanyakazi wengi wa serikali ktk sekta karibu zote hii pengine ni tatizo la mfumo wa uongozi wetu.kama ukiongelea mambo ya rushwa hospitalini,hili ni tatizo ambalo liko kwenye ofisi nyingi na hapo ndio utagundua kuwa ni mfumo wetu ndio una matatizo hili tulilea kwa muda mrefu sana,nakumbuka kuna kipindi ilipewa jina TAKRIMA hali iliyofanya ionekana ni kitu cha kawaida.
Kwa mazingira ya hospitali inawafanya wenye wagonjwa na wagonjwa wenyewe waone ni vema wawatakrimu manesi/madokt.na kwa hali ya kipato cha manesi/madokt. na mfumo wa nchi ulivyo wanajikukuta wakishawishika.
Tuombe mungu atusaidie tuweze kubadili mfumo ambao ni pamoja na kuwa katiba mpya na serikali inayowajibika na kujali maslahi ya wafanyakazi.

Basi umekubaliana na mimi ninachoongea mkuu na sidhani kama katika hiyo thread sijatenda haki. Nasema ni wauaji kwa sababu kinyume cha kutibu au kumhudumia mgonjwa aliyekuja kwako kama the one trained for delivering such service ni kuacha nature ichukue mkondo wake yaani kifo. Similarly kama wewe ukienda mahakamani kama mlalamikaji then hakimu akashindwa kuwajibika kwa kutaka chochote matokeo yake ni wewe kushindwa kesi. Kwa hiyo nimeita madaktari wauaji kwa kutafsiri matokeo ya kile ambacho kina uwezekano wa kutokea wakati doctors na manesi wanashindwa kumhudumia mgonjwa kutokana na kuhitaji rushwa au ku act unprofessionally. Sijasema hawa Ma doctor wanakamata mtu na kumchoma sindano ya sumu au la ila results za deliberate conduct zao zinaharakisha vifo vya wagonjwa. Na hii ingeepukika kama wange act responsibly.

Pia sikubaliani na wewe kwani unaonyesha kubariki TAKRIMA na kwa hili unaniambia unaunga mkono madaktari na manesi kutaka hela. Pia kwa taarifa ni kwamba katiba siyo panacea ya kila kitu na itakuwa katiba ya ajabu kama kila jambo litawekwa humo ndani; kwa mimi nafikiri suala la hawa madaktari ni la kimaadili zaidi kuliko kikatiba.
 
Basi umekubaliana na mimi ninachoongea mkuu na sidhani kama katika hiyo thread sijatenda haki. Nasema ni wauaji kwa sababu kinyume cha kutibu au kumhudumia mgonjwa aliyekuja kwako kama the one trained for delivering such service ni kuacha nature ichukue mkondo wake yaani kifo. Similarly kama wewe ukienda mahakamani kama mlalamikaji then hakimu akashindwa kuwajibika kwa kutaka chochote matokeo yake ni wewe kushindwa kesi. Kwa hiyo nimeita madaktari wauaji kwa kutafsiri matokeo ya kile ambacho kina uwezekano wa kutokea wakati doctors na manesi wanashindwa kumhudumia mgonjwa kutokana na kuhitaji rushwa au ku act unprofessionally. Sijasema hawa Ma doctor wanakamata mtu na kumchoma sindano ya sumu au la ila results za deliberate conduct zao zinaharakisha vifo vya wagonjwa. Na hii ingeepukika kama wange act responsibly.

Pia sikubaliani na wewe kwani unaonyesha kubariki TAKRIMA na kwa hili unaniambia unaunga mkono madaktari na manesi kutaka hela. Pia kwa taarifa ni kwamba katiba siyo panacea ya kila kitu na itakuwa katiba ya ajabu kama kila jambo litawekwa humo ndani; kwa mimi nafikiri suala la hawa madaktari ni la kimaadili zaidi kuliko kikatiba.

hapo kwenye bold
ndugu yangu MVUMBUZI mfumo uliopo hausimamii maadili na wala siyo madaktari tu,na ndiyo na maana tunalilia katiba mpya ambayo inaweza kutuletea serikali inayowajika kwa wananchi kujali maslahi ya wafanyakazi.
 
hebu wakwetu nifunue akili kidogo hapa.......doctor Solo ni marehemu?

wakunyumba....jamani mpaka tunamsahau sasa, nilishindwa mackini kuhudhuria mazishi yake but alipokuwa amelazwa nilifanikiwa kuja kumwona....wakunyumba imekuwaje hii news imekupita hivi?
 
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani ila tukiliweka hili ki- customer care tutakuwa kibiashara zaidi. Patient doctor relationship ni suala sensitive zaidi jamani na tusiliweke kimtindo wa customer care. Kwani unajua kama hoteli au duka au chombo cha usafiri hakitoi huduma nzuri unaweza kwenda sehemu nyingine au uka drop, au ukatafuta alternative ya ile commodity au service sehemu nyingine. Lakini suala la ugonjwa ni suala sensitive na la emergence kwani hakuna mtu anayefanya decision kwamba leo nataka niiugue au ndugu yake augue kama tunavyofanya kununua bidhaa fulani. Ingekuwa hivyo basi hospitali za serikali kama mount Meru zingekufa kwani hakuna mtu ambaye angepanga kwenda kununua au kupata service sehemu ambayo huduma ni mbaya. Suala la ugonjwa sio la kupanga wala la furaha ila linamkuta mtu pale system au sehemu fulani ya mwili inapo shindwa ku function inavyotakiwa then unalazimika kwenda hospitali wakati huna budget ya hiyo huduma. Matokeo yake unajikuta huna choice zaidi ya kutafuta sehemu ambayo service inapatikana kwa bei nafuu ili usife kama hospitali za serikali. Hili kimbilio la wanyonge lipokuwa abused na staff wanaoshindwa kufanya wanachotakinachotakiwa ni sawa na kuwa a killer in the robe of benevolent person ambaye wrongly watu wanamwona kama kimbilio kumbe kwa ndani they are absolutely Not.

Mkuu MVUMBUZI naomba utambue kwamba hata Hospitali ya MT MERU ni biashara, bali wao hawafanyi biashara kwa faida. Mtaji wa kuendeshea hiyo biashara unatokana na kodi zetu; kumbuka vifaa na madawa vinanunuliwa pamoja na kuwalipa wahudumu. Wateja ni mimi na wewe. Hivyo basi wanapaswa kujifunza jinsi ya ku-care wateja wao.

Hivyo basi ni wajibu wetu sote kuhakikisha kwamba tunatoa huduma kwa wateja wetu vyema, ninaamini hata wewe kuna wateja wansubiri huduma yako SASA HIVI, JE UNAWAHUDUMIA VYEMA, UNATIMIZA WAJIBU WAKO,.............!!!! JE HUTENGENEZI MAZINGIRA YA KUPEWA RUSHWA???????. Kila mmoja wetu kuwajibika kwa sehemu yake katika kufikisha huduma bora kwa wateja wetu, kama MLAIZER alivyoeleza kwamba tatizo ni mfumo; tushirikiane kubadili mfumo huu mbovu katika kuleta huduma kwa jamii yetu. Mabadiliko yaanze kwa kila mtu katika eneo lake.
 
pole kwa kufanya utafiti huo japo ningekushauri siku nyingine kabla ya kutoa majibu kwa wanajamii ungeenda mbali zaidi hata kuwaona watu kama katibu wa afya wa hospitali hiyo na medical officer incharge kumpatia taarifa hizo ili kusaidia kuondoa kero kama hizi
 
Back
Top Bottom