Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Mkuu anawagombeza kama watoto ma doc wamekuwa wadogo kama tule tudawa wanakotupaga
wanamchora tu bila shaka. Ni kelele za chura hizo kama madai yao hayatatekelezwa
Mkuu anawagombeza kama watoto ma doc wamekuwa wadogo kama tule tudawa wanakotupaga
unamfahamu kamanda ulimboka?Aliyewaambia kuwa bila Ulimboka mgomo hauwezekani ni nani? Hebu muacheni kijana wa watu atulie huko aliko. Mnahangaika naye bure wakati hata hapa nchini hayupo na wala hajui kinachoendelea safari hii.
asa unalia nini we ***aacha ujinga wewe,inaonekana una ushabiki wa kishamba kweli.hakuna mtu aliempigia mwenzake magoti,wameomba kukutana na rais amewakubalia,sasa we unakuja kuanza kuropoka apa bana
Safi sana Rais JK. Ikulu ni ya Watanzania wote itumie kutatua matatizo ya raia wako. Kwisha habari; nasubiri taarifa ya habari ya saa mbili kamili kupitia TBC1 ikiwa na habari ya kwanza kabisa kwamba madaktari wamkubali kuacha mgomo bila masharti yoyote baada ya kuwa wamekutana na Rais ikulu ya Dar es Salaam. Nilikuwa nataka kushangaa, kama JK aliweza kusaidia katika utatuzi wa mgogoro wa Kibaki na Raila na pia kumaliza gogoto la Zanzibar iweje ashindwe na kagogoro haka kadogo! Miaka kumi akiwaongoza mabalozi imempa uzoefu wa kutosha wa kidiplomasia. Hapa inatumika diplomasia tu.
Jamani hivi hata techniques kidogo za majadiliano hatuna au hatuzijui? Mtu akikuita uende kujadiliana naye nyumbani kwake wewe hesabu umeumia. Amekalia kiti chake cha enzi na wewe ndio mara ya kwanza unaingia kwake tena IKULU. Haya yetu macho. Lakini yote heri tunachokata mgomo uishe watu wapate huduma za matibabu.
Kimbunga siku nzima ya leo ulikuwa unaenda vyema,sijui shetani kadi maskini kakuingilia muda huu,hivi na wewe unaamini kuwa JK ndiye aliyewapatanisha Kibaki na Odinga? umekuja kama kimbunga na pumba za kutosha.
mkuu anawagombeza kama watoto ma doc wamekuwa wadogo kama tule tudawa wanakotupaga
Moderators mko wapi?
Mbona hii thread imejaa matusi tupu au ndo jadi mpya hapa JF?
acha ujinga wewe,inaonekana una ushabiki wa kishamba kweli.hakuna mtu aliempigia mwenzake magoti,wameomba kukutana na rais amewakubalia,sasa we unakuja kuanza kuropoka apa bana
trend inaonyesha kuwa dhana yako si sahihi. Pale wameenda watu wengi sana kuongea na jk na hatimaye wakatoka washindi. Wa awali ni wawekezaji. Karibuni hapa cdm wameenda pale na wakatoka na ushindi. Hukusikia tetesi jk angevunja bunge kama wasingekubaliana na hoja yake (hoja ya cdm)? Na madaktari wataibuka kidedea tu