GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Mkuu anawagombeza kama watoto ma doc wamekuwa wadogo kama tule tudawa wanakotupaga
Usifanye mchezo na mtu anaeshika dola, hata maandiko matakatifu yanasema yanasema ! nilijua tu wakifika kwa mkulu lazima wawe wadogo