Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
waeleze duku duku zao zote sio watoke apo kesho waanze ngonjera zao kama watoto
wasimpe mkono
Safi sana Rais JK. Ikulu ni ya Watanzania wote itumie kutatua matatizo ya raia wako. Kwisha habari; nasubiri taarifa ya habari ya saa mbili kamili kupitia TBC1 ikiwa na habari ya kwanza kabisa kwamba madaktari wamkubali kuacha mgomo bila masharti yoyote baada ya kuwa wamekutana na Rais ikulu ya Dar es Salaam. Nilikuwa nataka kushangaa, kama JK aliweza kusaidia katika utatuzi wa mgogoro wa Kibaki na Raila na pia kumaliza gogoto la Zanzibar iweje ashindwe na kagogoro haka kadogo! Miaka kumi akiwaongoza mabalozi imempa uzoefu wa kutosha wa kidiplomasia. Hapa inatumika diplomasia tu.
naskia mkw.ere aliwaita waongee faragha na sasa kawapigia magoti akiwasihi wasitishe mgomo.
You got to admit gal,they are think tanks.drs sio think tanks wa taifa jamani, wa mwili wa mwanadamu sawa kwa kiasi.
Arrogance inawaponza.
Think tanks would dare to admit that they know less than ppl think they know.
Baada ya form six wamesomea viumbe tu, tena kiumbe mmoja. Wenye bahati ya kuhusisha na mambo nje ya hosp kidogo wanaanza kujua dunia inaenda wapi. Tofauti na wengine ambao husoma masomo kuhusu mambo mengi na kupanuka mawazo mapema
You got to admit gal,they are think tanks.
Have you ever asked yoself why docs are highly paid in europe,america and some parts of africa with exception of tanzania than other expert?why do u think doctors can switch easily to another profession like law,economics but nt others to medicine?jst internalize..and think beyond your horizon..
wasimpe mkono
umenichekesha sana na ulichoandika.hivi nyie mnaojiita think tanks mnatibiwa na nani?leo hii daktari aweza sema you are insane and society will believe him beyond doubts.daktari anajua ni jinsi gani ubongo wa huyo think tank unavyofanya kazi sasa nani hapo think tank?
acha ujinga wewe,inaonekana una ushabiki wa kishamba kweli.hakuna mtu aliempigia mwenzake magoti,wameomba kukutana na rais amewakubalia,sasa we unakuja kuanza kuropoka apa bana
Wanapiga sambusa na kahawa kwa sana na juis kama kawa wanaonekana walikuwa na njaa kali;wamepewa nafasi naona wana kigugumizi mkuu kaweka ndita
You got to admit gal,they are think tanks.
Have you ever asked yoself why docs are highly paid in europe,america and some parts of africa with exception of tanzania than other expert?why do u think doctors can switch easily to another profession like law,economics but nt others to medicine?jst internalize..and think beyond your horizon..
drs sio think tanks wa taifa jamani, wa mwili wa mwanadamu sawa kwa kiasi.
Arrogance inawaponza.
Think tanks would dare to admit that they know less than ppl think they know.
Baada ya form six wamesomea viumbe tu, tena kiumbe mmoja. Wenye bahati ya kuhusisha na mambo nje ya hosp kidogo wanaanza kujua dunia inaenda wapi. Tofauti na wengine ambao husoma masomo kuhusu mambo mengi na kupanuka mawazo mapema
By Haika![]()
![]()
drs sio think tanks wa taifa jamani, wa mwili wa mwanadamu sawa kwa kiasi.
Arrogance inawaponza.
Think tanks would dare to admit that they know less than ppl think they know.
Baada ya form six wamesomea viumbe tu, tena kiumbe mmoja. Wenye bahati ya kuhusisha na mambo nje ya hosp kidogo wanaanza kujua dunia inaenda wapi. Tofauti na wengine ambao husoma masomo kuhusu mambo mengi na kupanuka mawazo mapema
Malumbano yasiyo na msingi
wala hayachangii hii thread....
Mtawala tujuze ulimboka kasalimiana na jk au
muuongo ww ,rais ndiyo ameomba na ilibaki kidogo makamanda wasikubali wito.acha ujinga wewe,inaonekana una ushabiki wa kishamba kweli.hakuna mtu aliempigia mwenzake magoti,wameomba kukutana na rais amewakubalia,sasa we unakuja kuanza kuropoka apa bana