Madaktari na Ikulu

Hizo busara baada ya kwenda Ikulu? wameufyata, waziri yuleyule na naibu yuleyule. Si walijidai kumpa ultimatum Rais?

Cheza na dola wewe?

Wewe ni mmojawapo wazee wa DSM au ni kilaza tu wa kawaida kama hao mawaziri wako uliowataja? hao mawaziri unaowataja unajua wanamahusiano ya aina gani sasa na watumishi wa Afya? Dr. Chitage amesha eleza vyema kinachoendelea, wewe baki kupiga makofi diamond tu? hawa ni walewale wanaougua wanakufa kabla ya kufika kwa daktari! hata hivyo wewe ni mgonjwa.
 
IQ ya madaktari ni level ya juu sana kwako. Unataka wakupe ripoti kwani wewe pia daktari? Endelea kufikiria kwa kutumia masaburi.

Drs Chitage, Ozzie....achananeni na huyo mp**zi Ribosome, mnapoteza muda wenu buree na kibaraka huyo. Hili suala lilishaisha inasubiriwa utekelezaji tu, na maamuzi yeyote ya maDaktari yatagemeana na utekelezaji wenyewe. Keshatumwa huyo kuleta choko choko, waliomtuma wanataka kupima upepo kabla hawajafanya tena maamuzi mengine ya kijinga!
 
Mgonjwa mahututi akafia kitandani kisa umeme umekatika wakati anatibiwa.
Ivi apo muuaji ni serikali au dokta.
Hospital hazina ata standby generator na kama lipo halina mafuta!
Sasa mtu anayedai mazingira mazuri ya kukutibu leo anaonekana Mbaya?
Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi
 

in fact huyu mwenzetu ana Bipolar Disorder! drs are focused, acha upuuzi wako wa kuchanganya utendaji na siasa zako za kipumbavu kwenye mambo ya msingi! leta threads za maana!
 

Mmmmmh utabakia kujichekesha tu, unajua tofauti ya mshahara kabla ya mgomo na baada ya mgomo wewe??
Na unafahamu JK kwann alitaka tunyamaze, aliomba sana ili tusije kuprovoke kada nyingine akawa na wakati mgumu zaidi.:smile-big:
 
Mmmmmh utabakia kujichekesha tu, unajua tofauti ya mshahara kabla ya mgomo na baada ya mgomo wewe??
Na unafahamu JK kwann alitaka tunyamaze, aliomba sana ili tusije kuprovoke kada nyingine akawa na wakati mgumu zaidi.:smile-big:

Mshahara ulishaongezwa na Pinda hata kabla ya kukutana na Kikwete. Kikwete alipewa "ultimatum" ya mawaziri wake, akaigaragaza vibaya sana. Umesahau? kwi kwi kwi teh teh teh!
 
kila mmoja alikuwa anatamani mgomo uishe kwa faida ya wananchi wa kawaida wasiweza kutibiwa private sasa wewe muanzisha mada inaonekana ulikuwa unapenda mgomo uendelee? jaribu kufikiri kama watu wakifa we utapata faida gani, mi nasupport walichofanya madaktari kusitisha mgomo baada ya kukutana na JK. jamani kama wewe haukuguswa na mgomo huu basi nyamaza kimya sisi wengine tunaona Mungu amejibu maombi yetu mgomo umeisha, usianze kuwachokoza madaktari ili wagome tena we utapata faida gani?
 

Bravo dr chitage mtoa mada aliangalia kutaka sifa zaidi kuliko kutafuta ukweli. Endeleeni na majadiliano kwa ustawi na faida ya taifa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…