kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Naongelea madaktari mnaishi kwenye hizi flats hapa nyuma ya kituo cha daladala super star upanga njia ya kwenda muhimbili karibu na hii super market mpya ya ETNS . Nyumba zimezungukwa na majalala ya uchafu , ma sim tank yanajaa maji hadi yanamwagika usiku kucha (DOKTA UNASHINDWA KU CONTROL MAJI UNAYOFUNGULIA MWENYEWE). Majani yameota hadi milango ni mwa nyumba zenu. Miti imeota kwenye kuta hadi juu ya nyumba . Hivi dokta unashindwa kusafisha nje tu ya nyumba yako. jirekebisheni acheni mambo ya SIASA, KULEWA , KUGOMA NA KUBADILISHA WANAWAKE. usafi kwanza.