Madaktari kugoma nchi nzima!

Muziki umeanza. Ni wakati wenu madaktari kugangamala. Vinginevyo, mtaendelea kudharauliwa siku zote. Ushauri wangu ni kwamba msilegeze kamba.
 
Rias, mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu wakuu wote, makatibu wakuu wasaidizi , wakurungezi, wabunge wote, wakuu wa mikoa na wilaya na wenye nazo wote wakiuugua wao ni kwenda kutibiwa India. Kwa hiyo hawana uchungu wo wote na hudumu za afya nchini na wanajua wakiugua wana pa kukimbilia.

Kuna wakati fulani Blandinyo Nyoni alienda Uswiz kwenye hospitali fulani ya Uswiz akaanza kuisifia kwa kusema Hospitali hiyo ni nzuri sana kama hoteli ya nyota tano.

Eti hospitali zimepandishwa uboro na kuwa za rufaa! Rufaa mavi. Hali za hospitali zetu ni hovyo sana kila kitu ni siasa tu la maana hakuna. Ipigwe marufuku hakuna mwanasiasa yeyote kukimbilia nje ya nchi punde anapougua, atibiwe hapahapa nchini ndiyo atayajua machungu yanayowapata walala hoi. Shenzi type.
 
Hii kali Waziri wa Afya hajui kama Interns Doctor kama ni daktari kamili ama bado mwanachuo!! Ametolewa wapi huyu? Vigezo gani vilitumika kupewa uwaziri ktk wizara muhimu kama hii?

mawaziri wote ni kama majuha tu
 
Subiri kidogo, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu ni wateule wa Rais na MAT haiwezi kuwakataa, kwani Rais anapowateua watu hakuna debate so wao kumkataa haina Tija. Kwa mujibu wa sheria Madaktari hawaruhusiwi kugoma. Ushauri wangu wa Kijinga wanaweza kuunda kamati ndogo ikaenda kunywa chai pale Magogoni na kupiga picha Kama walichofanya watu Fulani baada ya kuzira mjadala wa mswada wa Katiba ya CCM. Sijatambua Kama ni kwa kiasi gani wamefanikiwa au waanze mikutano yao isiyoisha. But because Watz wengi mishahara ni midogo mno na hawana akiba then sitarajii kuona mgomo endelevu wenye tija katika uhai wangu! Do you know why 80% wanategemea kuapata hizo tips za kukimbiza mafaili ya watu tu. Hata vyama vya wafanyakazi havitengi strike funds za kuwalipa wanachama wao wakifanya mgomo Halali! Mdaktari na Polisi ngoma draw kugoma ni marufuku sijui watatumia sllaha gani huishia kumwomba kila mtu kitu kidogo!:A S 465:
 
Subiri kidogo, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu ni wateule wa Rais na MAT haiwezi kuwakataa, kwani Rais anapowateua watu hakuna debate so wao kumkataa haina Tija. Kwa mujibu wa sheria Madaktari hawaruhusiwi kugoma. Ushauri wangu wa Kijinga wanaweza kuunda kamati ndogo ikaenda kunywa chai pale Magogoni na kupiga picha Kama walichofanya watu Fulani baada ya kuzira mjadala wa mswada wa Katiba ya CCM. Sijatambua Kama ni kwa kiasi gani wamefanikiwa au waanze mikutano yao isiyoisha. But because Watz wengi mishahara ni midogo mno na hawana akiba then sitarajii kuona mgomo endelevu wenye tija katika uhai wangu! Do you know why 80% wanategemea kuapata hizo tips za kukimbiza mafaili ya watu tu. Hata vyama vya wafanyakazi havitengi strike
funds za kuwalipa wanachama wao wakifanya mgomo Halali! Mdaktari na Polisi ngoma draw kugoma ni marufuku sijui watatumia sllaha gani huishia kumwomba kila mtu kitu kidogo!:A S 465:


Katika kile kiapo ambacho madaktari wanakula pia kinasema wanapofanya hivyo nao waenjoy life angalia bolded lines

I swear by Apollo the Physician and Asclepius and Hygieia and Panaceia and all the gods, and goddesses, making them my witnesses, that I will fulfill according to my ability and judgment this oath and this covenant:

To hold him who has taught me this art as equal to my parents and to live my life in partnership with him, and if he is in need of money to give him a share of mine, and to regard his offspring as equal to my brothers in male lineage and to teach them this art – if they desire to learn it – without fee and covenant; to give a share of precepts and oral instruction and all the other learning to my sons and to the sons of him who has instructed me and to pupils who have signed the covenant and have taken the oath according to medical law, but to no one else.

I will apply dietic measures for the benefit of the sick according to my ability and judgment; I will keep them from harm and injustice.

I will neither give a deadly drug to anybody if asked for it, nor will I make a suggestion to this effect. In purity and holiness I will guard my life and my art.

I will not use the knife, not even on sufferers from stone, but will withdraw in favor of such men as are engaged in this work.

Whatever houses I may visit, I will come for the benefit of the sick, remaining free of all intentional injustice, of all mischief and in particular of sexual relations with both female and male persons, be they free or slaves.

What I may see or hear in the course of treatment or even outside of the treatment in regard to the life of men, which on no account one must spread abroad, I will keep myself holding such things shameful to be spoken about.
If I fulfill this oath and do not violate it, may it be granted to me to enjoy life and art, being honoured with fame among all men for all time to come; if I transgress it and swear falsely, may the opposite of all this be my lot.


halafu pia kwa wafuatiliaji ninavyokumbuka mimi pale mwaka 2005 walivyogoma mabadiliko ya mishahara yalivyokuja yalitiaffect sector zote hivyo sidhani kama tunatakiwa kubeza hizi juhudi zao i believe their efforts wont go in vain....
 
Mzee wa Kaya natumaini ujumbe huu atakuwa ameshapelekewa na timu ya Salva Rweyemamu. Kazi ipo mwaka huu Poleni wa Dr. wa ukweli kwa matatizo mnayoyapata. Haki haiombwi bali inapiganiwa

Kwa kitendo wanachofanya ni kuitafuta au ni kuipigania?
 
Kwa kweli mimi sifahamu tunakoelekea kama Taifa, hii migogoro kati ya madaktari na serikali kila mwaka imekuwa na athari kubwa sana kwa watanzania na hasa wa vipato vya chini, na ndio maana leo hii madaktari wamekuwa hawawajibiki tena wanapokuwa kwenye vituo vyao vya kazi wanababaisha then wanakuelekeza kwenda kwenye hospitali zao binafsi ambazo ni ghali sana, Serikali angalieni hii mambo bhana wananchi tunaumia.:shock:

Migogoro mbona ni mingi sana tu? Hii inadhihirisha ulegelege wa serikali ya magamba
 
Hii serikali yetu ni pambaf kabisa mwaka huu wametenga Shilingi bilioni 13 kwa ajili ya kutibia watu wenye matatizo ya moyo nje ya nchi na kila mwaka mambo ni haya haya

kwa nini wasiboreshe huduma hapa nchini hawa watu wakatibiwa nchini na hizi pesa zikasaidia watu wengi zaidi mimi naamini kuna watu wanabenefit na huu mfumo wao waliouandaaa.Kwa nini Dr Masau wa THI(Tanzania Heart institute ) amejaribu kusaidia katika hii sector lakini picha ninayoipata serikali inamsabbotage hata kama hana vifaa vya kutosha kwa nini tusijazie pale aliposhindwa

Kwa ujumla mtazamo wangu wanasiasa/serikali hawana machungu na ubovu wa wa hii sekta ya afya kwani wao wanajua wakiugua watatibiwa wapi ndio maana wanaiacha hii huduma iendelee kudorora wala hakuna juhudi za dhati kujaribu kuboresha

Sasa hivi nchi nyingi zinapiga hatua sana katika huduma za jamii kwa ujumla mfano
Rwanda kwa sasa huduma ya afya imepiga hatua kubwa sana na mambo iiyofafanya ni kuhakikisha budgetary allocation ya funds to health sector inatosheleza kununua vifaa,madawa na pia kulipa wafanyakazi vizuri Madaktari hawa tunaowabeza hapa wapo huko wanachapa kazi vizuri sana tu,kama vile pia Lesotho, Namibia, Botswana ambako pia hawa wataalamu wa afya nurses na Madaktari wanafanya kazi nzuri kwenye nchi hizi za wenzetu.
Na kwa sasa nasikia Zambia wanapiga hatua eti daktari wa kawaida analipwa take home si chini ya tanzania shilingi milioni 3.6 tanzania wanalipwa sijui laki ngapi lakini am sure haifiki milioni

Sasa sijui hivi vvinchi vingine ni nchi tajiri au zina nini cha ajabu.
 
Nina uhakika kwamba kwa taratibu zinazofatwa haki itapatikana. Si vizuri serkali siku zote kutoa ahadi za uongo kwa madakatri wanaopractice kwenye hali ngumu kama hospitali za TZ. Keep it up. Your strenth gives me strenth.
 
Tunawaunga mkono bora msitufanye tufe.

Umoja wa kitaaluma ni muhimu sana, msiwasahau na wauguzi na wale wote kwenye taaluma yenu.

Hamjawahi kushindwa na sasa nadhani ni zaidi. Hii serikali ifunzwe adabu. Si kila mmoja anaweza kuwa daktari lakini kila mmoja anaweza kuwa mwanasiasa.

Mmedhalilishwa ya kutosha, wakati wa Mkapa office attendant wa TRA analipwa kuliko ninyi.

Ona polisi walivyo na umoja, wanatuma matrafiki kukusanya hela, wengine wanakamata akina mama wapika gongo na wanaotembea, ukienda kumshtaki mtu wewe na mshtakiwa lazima mtoe kidogo, ukipita anga zao wanakubambikizia kama Muro jioni mgao kila moja lazima apate ikiwa pamoja na wale wa maofisini na makao makuu kila moja kwa urefu wa kamba yake. Japo wadogo ni ndiyo afande lakini siri mkichwa.

Mfano wa pili wa umoja ni wa mafisadi, jaribu kumgusa moja wao, utapotea.

Karibuni mdaktari kwenye mpambano wa haki, anzeni huko nasi huku
 
Madaktari Hongereeni Sana Sana Sana, ingalau mmejaribu kuweka msimamo wenu vizuri bila kuteteleka. Ila tu ktk mambo mliyoafikiana, nina wazo dogo tu,

1. Msingemshauri Rais awatafutie kazi nyingine Katibu Mkuu na Mganga Mkuu, Ila mngempa hayohayo masaa 72 awe amekwisha watoa hapo, na kwamba kama angeshindwa basi mngeweka zana chini kwani hamuwezi kufanya kazi chini ya hao walevi wa madaraka. Hii ni kwasababu, experience inaonyesha Serikali hii huwa haichukui hatua.

2. Kumsimamisha Uanachama Mganga Mkuu, mmeonyesha umakini wa hali ya juu, ila tu, ban mliyompa ya Mwaka mmoja ni fupi sana, nadhani mngempa miaka (3), na ili arudishwe, alitakiwa aombe msaamaa kwa maandishi kwa Chama cha Madaktari. Km hataki kuomba msamaa, basi mnamfuta moja kwa moja.

HONGERENI SANA SANA TENA, TUNAPENDA KUONA VYAMA AU TAASISI ZINAZOWEZA KUTOA MAAMUZI MAGUMU KAMA HAYA KWA MANUFAA YA NCHI.
 
Madaktari pamoja sana cha msingi muoneshe mshikamano nchi nzima kwani Umoja pekee ndo unaweza kufanikisha mambo hayo yote!! Kila la Kheri katika mchakato mzima!!
 
Hii serikali yetu ni pambaf kabisa mwaka huu wametenga Shilingi bilioni 13 kwa ajili ya kutibia watu wenye matatizo ya moyo nje ya nchi na kila mwaka mambo ni haya haya

kwa nini wasiboreshe huduma hapa nchini hawa watu wakatibiwa nchini na hizi pesa zikasaidia watu wengi zaidi mimi naamini kuna watu wanabenefit na huu mfumo wao waliouandaaa.Kwa nini Dr Masau wa THI(Tanzania Heart institute ) amejaribu kusaidia katika hii sector lakini picha ninayoipata serikali inamsabbotage hata kama hana vifaa vya kutosha kwa nini tusijazie pale aliposhindwa

Kwa ujumla mtazamo wangu wanasiasa/serikali hawana machungu na ubovu wa wa hii sekta ya afya kwani wao wanajua wakiugua watatibiwa wapi ndio maana wanaiacha hii huduma iendelee kudorora wala hakuna juhudi za dhati kujaribu kuboresha

Sasa hivi nchi nyingi zinapiga hatua sana katika huduma za jamii kwa ujumla mfano
Rwanda kwa sasa huduma ya afya imepiga hatua kubwa sana na mambo iiyofafanya ni kuhakikisha budgetary allocation ya funds to health sector inatosheleza kununua vifaa,madawa na pia kulipa wafanyakazi vizuri Madaktari hawa tunaowabeza hapa wapo huko wanachapa kazi vizuri sana tu,kama vile pia Lesotho, Namibia, Botswana ambako pia hawa wataalamu wa afya nurses na Madaktari wanafanya kazi nzuri kwenye nchi hizi za wenzetu.
Na kwa sasa nasikia Zambia wanapiga hatua eti daktari wa kawaida analipwa take home si chini ya tanzania shilingi milioni 3.6 tanzania wanalipwa sijui laki ngapi lakini am sure haifiki milioni

Sasa sijui hivi vvinchi vingine ni nchi tajiri au zina nini cha ajabu.


Siku hizi ukienda hospitali au mtu wako akiwa huko huna uhakika wa kupona. Ma dr hawapo, au wakiwepo wamechoka na wakiwepo na hawajachoka basi hawapo motivated.

Uhaba wa ma Dr ni mkubwa sana. Wanafanya kazi masaa mengi na wanafanya hospital kadhaa to make ends meet. Hii si hospitali za govt bali hata binafsi pia. Manesi nao wamejichokeaaa basi hamna hata wa kumpa mgonjwa huduma nzuri.

Usiseme basi mazingira ya kazi yalivyo. Magumu sana kwa kweli. Dah!
 
stakeholder, MAT ninavyofahamu ni chama cha hiari cha madaktari. Mtu anapohitimu mafunzo ya udaktari anasajiriwa na baraza la madaktari na ndilo linalompa leseni, hivyo kitendo cha MAT kumsimamisha Dr. Mtasiwa hakina nguvu yeyote kisheria, katika utendaji wake na haiwezi kumsababibishia ashindwe kufanya majukumu yake kama daktari, atakuwa si mwanachama na atakosa ile company ya wenzake.
Pili, ikumbukwe kuwa CMO na Katibu wakuu ni wateule wa Raisi, hivyo kutoa masaa 72 kwa raisi, sidhani kama ni sawa na sidhani kama litatekelezwa, sana sana wait for the worse.
Ni kweli mna jambo la msingi na ni haki kudai maslahi yenu, lakini kwa modality hii sidhani kama mtafanikiwa, maana kama ni interns doctor, wamekwisha rudishwa wote japo maeneo tofauti, hivyo kutumia mwanya huu, you have miscalculated, the way I see it.
Napata shida kidogo hapa naomba ufafanuzi kwa hili,huyu mganga mkuu wa serikali kama amefutiwa uanachama na MAT ina maana kwamba sasa hivi hatambuliki kama daktari na kama ni hivyo basi hana mamlaka ya kutekeleza majukumu ya kidaktari ktk kipindi hicho alichofungiwa sasa hiyo nafasi yake ya CMO anaachia ngazi ama inakuwaje?
 
Madaktari mmesema ukweli,blandina nyoni na mtasiwa ni kikwazo kwenye sekta ya afya,there would be no peace and tranquility unless they go.
Halafu wanaona kama wanamiliki madaktari,mngetoa masaa 24 tu warejeshwe wale madaktari.
 
Kazeni buti wakuu! Hii nchi siasa inathaminiwa kuliko taalamu, ni mihimu kushikamana kutetea hoja zenu kwani zina msingi! Walala hoi tutaumia kidogo kama mkigoma ila naamini mkifaulu vita hii hata huduma kwetu zitaboreshwa! Big up and never dispear!
 
MAT ni chama cha hiyari, ingawa hakina nguvu yeyote katika mustakabali mzima wa ajira ya mtu, kinabaki kuwa chama pekee kinachoweza kuwaunganisha madaktari pamoja, Tanganyika Medical Council(TMC) pekee ndiyo inayoweza kumfutia usajili, ambayo na yeye ni member wa hiyo Council kwa nafasi yake.
 
Back
Top Bottom