Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Jaribu utumia google uone madaktri wa nchi zinazoeneldea wanatuima style gani kugoma bila kuathiri ethics za udaktari awananchi Walimu hawali kiapo lakini madari nadhani wana kiapo cha taaluma yao..... Kama nimekosea nisahihishe.Umenishangaza sana kwa mawazo yako haya. Unataka kusema Madaktari hawana haki ya kulipwa stahili zao eti kwa kuwa wanatakiwa kuhudumia wananchi?
Madaktari ugoma gma wa style hiyo ni sawa na marubani wa shirika wapaishe ndege then wakiwa angani watangaze mgomo a watishie wasisiizwa watafanya crash landing. Wanaweza kuwa na sabbau zuri lakini KIMAADILI ya taaluma yao watu 10 sababu tu ya mgomo wa madakari basi ujue huna "dokta" . hata angelipwa mil 50 kwa mwezi.
Unaweza kufanya kazi ukiwa na njaa? Madaktari wana familia zinazowategemea na kwa bahati mbaya wanafanya kazi kubwa sana tena kwa mazingira magumu. Tafadhali sana, usidharau taaluma ya watu.
Wapi nimesema madari wafanye kazi waiwa na njaa. Na una maana ukisema "njaa". Hivi una data n uthbitisho katika taalum au wanachi ambao kwa mshahara na mafa yao hawafikishi hata wiki mbili madakatri wamo.? Tafadhli acha siasa .
Sidharau taaluma ya watu wowote lakini madaktari wanatakiwa kutambua Ethics za udaktari dakatari sio sawa na za mwalimu
Wanasiasa hawana la maana wanalofanya lakini hata kabla ya kuidhinishwa walijiongezea posho kufikia 200K kwa siku, we unaona ni sawa.
Mkuu nadhani hujanisoma Makosa ya wanasiasa hayawezi kuhaasha na madaktari nao wafanye makosa. Sasa wewe uta sawa maari wanagome kam walivyofaya last time kwa kukodi matarumbeta.
Again nashauri jaribu kugogle uone waliotutangulia madaktari wao wakitaka kuboycot nini kinafanyika.