Madaktari kama mnataka mabadiliko kwenye sekta ya afya-jumatatu ndiyo siku ya kuwa pamoja haswa.....

nderingosha

JF-Expert Member
Mar 20, 2011
4,281
3,243
  • Ndugu zangu madaktari poleni kwa pilika ila niseme tu kazi ndio inaanza.........hawa serikali wameamua kuja kwa mtindo wao wa siku zote wa divide and rule na hapa ndipo migomo mingi yenye madai ya msingi inapokwamaga.....kwa maana ya watu kugawanyika makundi na hivyo tija nzima ya migomo kukosekana na watu kuishia kusalitiana.Ndugu zangu mlipoamua kugoma (wiki nzima sasa)mlikuwa na malengo na matatizo yenu yameshakubalika na nchi nzima kuwa ni ya msingi kabisa....
  • Ninachotaka kusisitiza sasa ni kuwa msije mkakubali kutishika na vitisho vilivyotolewa na serikali kwani hakika mkigawanyika hamtasikilizwa....believe me....mkigawanyika sasa matatizo ya msingi kabisa kamwe hayatapatiwa ufumbuzi....we all know this government....
  • Rai yangu kwenu.....kesho jumatatu ni siku ya nyie kuwa kitu kimoja kuliko siku zote...(mmeshakaa wiki sasa kwenye mgomo)........believe me..mkiendelea na mgomo serikali hii haina jinsi zaidi ya kukaa na nyie kuzungumza......namaanisha madaktari nchi nzima kesho chondechonde asiende mtu kazini........mtaendaje kazini wakati madai yenu hayajapatiwa ufumbuzi???????mmegoma wiki nzima ili keshoo mrudi kazini bila kusikilizwa???haitakuwa na logic hata kidogo ndugu zangu....hata manesi watawashangaa.......ila mkiendelea na mgomo hata manesi watawaunga mkono....hata wagonjwa wenyewe watataka serikali iwasikilize...fanyeni hivyo na matokeo yake mtayaona...believe me.......serikali ikileta madaktari wengine itabidi iwalipe kama ambavyo ingetakiwa iwalipe nyie....kwanza kuna madaktari wangapi wa ziada nchi hii feki??please and please.....mlishaamua kugoma don't give it up to this pathetic government........by the way...wagonjwa nao wanasema wanataka serikali iwalipe madaktari ili wawahudumie wagonjwa vizuri........daktari mwenye hasira anamtibuje mgonjwa?????????
 
Nasema tena, mkirudi kazini bila kusikilizwa, kwa sababu ya woga, au kwa sababu nyingine yoyote,... tusisikie tena mgomo.
Mkitaka msikilizwe, kwa faida yenu na ya watanzania wote, wakiwepo wagonjwa ambao kwa bahati mbaya wapo mahospitalini, Mungu awape nafuu, wakiwepo watakaokufa kwa kutokuwepo kwenu, Mungu awape rehema na punziko, lakini kwenu nyingi msimsikilize sio tu Waziri Mkuu Pinda, wala FFU, hata akija JK, mkulu mwenyewe, kabla ninyi hamjasikilizwa na madai yenu kutekelezwa. Kusikilizwa kwenu ni kwa faida kubwa ya baadaye kwetu sote, hasara ya muda mfupi, itakuwa tu labda vifo. Poleni, lakini mkaze uzi kupata haki yenu na yetu sote.
 
hapa ndo muamue moja kupata mlichotaka au kufta mkia na msigome tena kwan style ya uongoz wetu umeanza kuwatisha pamoja na personal attack /character assasination sijui dk ul hana vigezo dah...
 
Naunga mkono hoja chondechonde madaktari kesho ndo siku pekee ya kugoma nchi nzima mmebakisha kipande kidogo sana na mkifukuzwa wote nakukuhakishieni cc tutaandamana nchi nzima, mtaendaje kutibu watu na hasila zenu au haya ndo yale kunadaktari hospitalini kumbe ni koti limewekwa tu kwenye kiti, umeme umepanda wabunge wameongezewa posho iweje ninyi?
 
Wembe ule ule, kesho hamna kurudi kazini; hakuna mwenye uhakika lakini pengine nyinyi ndiyo mtakaoanzisha mbio za anguko la serikali dhalimu hii na hatimaye ukombozi wa nchi ukatimia. Kuna watu waliwahi kusema kuwa mabadiliko yanaweza yasije kupitia chama au vyama vya siasa, tungependa unabii huo utimie sasa.
Ujasiri wenu kuanzia kesho unaweza ukawa chachu ya kuwafukuzilia mbali washenzi hawa wanaoliibia taifa na kuangamiza wananchi wasio na hatia.
Hiyo ndiyo nguvu ya umma, washawishini na manesi pia.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli hoja za msingi hazibadilishwi kwa vitisho vya Waziri Mku. Madaktari tusimame katika kweli na haki pasi na woga. Ni afadhali kufa ukiwa unadai haki yako kuliko kuishi pasipo haki hiyo.
 
madaktari tupo pamoja nanyi. kesho ndo siku ya kuchukua point zote tatu. Nawaombea kesho asitokee msaliti yoyote.
 
ama kweli Pinda,,,anaejidai mtoto wa mkulima amenisikitisha sana kudharau madaktari kiasi hiki..au kwa vile wao wakiumwa hata Malaria matibabu ni India ndo maana wanawadharau hawa wa kwetu...hajiulizi why India is better than our country???Sababu ni kuwa serikali ya India na others countries zimewathamini madr wao na kuboresha system zao za afya,,,,,It is ridiculous....in short Pinda ameonesha kiwango duni
 
Upuuzi mtupu!!!! Mnachochea vifo vya wasio na hatia mkidhani mnaikomoa serikali! Watoto,walemavu,wazee na wagonjwa mbalimbali wanataabika kwa ajili yenu!!! MUNGU HUMLIPA KILA MMOJA KULINGANA NA MATENDO YAKE! Halafu mnajiita WAKRISTO MMLIOZALIWA UPYA na WAISLAMU SWALA TANO huku mkiua watu kwa mkono wa pili
 
ama kweli Pinda,,,anaejidai mtoto wa mkulima amenisikitisha sana kudharau madaktari kiasi hiki..au kwa vile wao wakiumwa hata Malaria matibabu ni India ndo maana wanawadharau hawa wa kwetu...hajiulizi why India is better than our country???Sababu ni kuwa serikali ya India na others countries zimewathamini madr wao na kuboresha system zao za afya,,,,,It is ridiculous....in short Pinda ameonesha kiwango duni

Mtoto wa fisadi na si mkulima, Pia huyu jamaa hana logic yeyote zaidi ya upuuzi; Mgomo huu unahitaji busara kuumaliza na si vinginevyo. Serikali yetu ni pumbavu sana kupitia huyu Waziri asiye na logic anatumia miguvu yake kutuliza mgomo unaohitaji busara. Kweli hatuna viongozi kabisa
 
ama kweli Pinda,,,anaejidai mtoto wa mkulima amenisikitisha sana kudharau madaktari kiasi hiki..au kwa vile wao wakiumwa hata Malaria matibabu ni India ndo maana wanawadharau hawa wa kwetu...hajiulizi why India is better than our country???Sababu ni kuwa serikali ya India na others countries zimewathamini madr wao na kuboresha system zao za afya,,,,,It is ridiculous....in short Pinda ameonesha kiwango duni

Alijifanya analia wakati wa mauwaji ya albino kumbe hana lolote amejawa na unafiki mtupu
 
Upuuzi mtupu!!!! Mnachochea vifo vya wasio na hatia mkidhani mnaikomoa serikali! Watoto,walemavu,wazee na wagonjwa mbalimbali wanataabika kwa ajili yenu!!! MUNGU HUMLIPA KILA MMOJA KULINGANA NA MATENDO YAKE! Halafu mnajiita WAKRISTO MMLIOZALIWA UPYA na WAISLAMU SWALA TANO huku mkiua watu kwa mkono wa pili

Unadhani wakirudi bila kusikilizwa madai yao ndo itakuwa hitimisho? Nadhani hasira zitahamia kwa wagonjwa ambao watakuwa wanahudumiwa kwa hasira na kupoteza maisha huenda ikaongezeka badala yakupungua
 
Kuwasikiliza maDr. Kutawafanya wawe willing kuwasikiliza wagonjwa na kuwatatulia matatizo yao pasipokuwa na kinyongo chochote. So drs wananchi tupo nyuma yenu kuwasapoti mpaka kieleweke kwani Tz itajengwa na waTz na siyo mtu mwingine yoyote
 
Kitendo chamadaktari kukataa kutii ombi la kukutana na serikari ni utovu wanidhani.nilidhani serikali inamakosa kumbe madaktari ndio jeuri.haya bwana sasatuone naniameshika makali.vinginevyo serikari ijipange ili wagonjwa wasiendelee kuteseka.uzuri madaktari bingwa wanafanya kazi.hawo ambao wapk mafunzoni wafanyiwehima.chondechondedrs chukueni hatua rudinikazini.msije jipalia mkaa.mmepewa nafasimmeshindwa kuitumia wenyewe.acheni ubabaishaji.waziri mkuu mmemkimbia rais mmamsogelea kweli.
 
Unaweza kumpeleka punda kisimani lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji, huyu PM amenisikitisha sana, wafanyakazi wa nchi hii iko wapi solidarity muimbayo kila siku, huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano kwa sekta nyingine kuunga mkono mgomo wa madaktari kwa kuweka siraha chini. Wanajigawia posho kedekede na huku wakisema serikari haina fedha, si upuuzi huu!
 
Mtoto wa fisadi na si mkulima, Pia huyu jamaa hana logic yeyote zaidi ya upuuzi; Mgomo huu unahitaji busara kuumaliza na si vinginevyo. Serikali yetu ni pumbavu sana kupitia huyu Waziri asiye na logic anatumia miguvu yake kutuliza mgomo unaohitaji busara. Kweli hatuna viongozi kabisa

Tatizo la viongozi wa nchi hawana priority. Yaan wanaongeza posho za wabunge, safari za rais kila uchweo, mashangingi hayachoki kutembea....Madaktari kazeni buti. Tupo pamoja daima
 
Back
Top Bottom