Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Kuna genge moja jijini DSM limejivika cheo cha jopo la viongozi wa kidini. Sii kweli kwamba watu hawa ni viongozi wa kidini bali ni genge la wajanja fulani ambao wamekuwa wakihaha kila kona ya nchi kutafuta watoke vipi. Walianza na mihadhara ya kukashifiana kwa tofauti za kidini, kujiingiza katika kuwatapeli watu mashuhuri ama tajiri kama kina Mengi, Manji nk. Sasa wanatumiwa na Ikulu dhaifu ya Jk kuwavuruga wananchi kwa propaganda. Nilishangaa Madaktari ni wapi walitaimiwa na mpaka kunasa ktk mtego wa kina Mwaipopo ambae ni form for failure na genge lake kina msopa darasa la saba. Hivi MDr's hamkuweza kuwabaini hawa watu kuwa hawana uwezo wa wazo lao wenyewe ila kile walicholishwa? Angalieni sasa jinsi wanavyowananga kuwa watawapeleka mahakamani baada ya ushauri wao wa kuwataka kuandika barua ya kumwomba radhi Kikwete kukataliwa. Kama MDr's mnabisha jaribuni kukutana na Mwaipopo na mutake ku-sam up mazungumzo yenu muone kama ana uwezo wa kuyakumbuka. Hapo ndio mtajiridhia kuwa mlikuwa mnajadiliana na mtu aliyekuwa analishwa cha kujadiliana na ninyi kutoka chanzo kingine na wala sii wao kama wao kwa jinsi walivyojinasibu. MDr's p/se hamjawa cheap kiasi hicho.
.
.