Madaktari: Jiandaeni kuongea na JK kupitia wazee wa Mwanza

Wazee wa Mwanza wamekwishamzarau ndio maana ukiangalia picha zao walipokuwa wanamkalibisha hawakuwa wamevaa magwanda ya kijani kama walivyovaa wanafunzi!!

Halafu watoto walikuwa kibao na sungusungu wamesombwa kutoka maeneo mbali mbali ikiwemo wilaya ya bariadi mkoa mpya wa SIMIYU ili kueneza propaganda eti watu walikuwa wengi.. kazi kwelikwel.
 
Back
Top Bottom