tonnyalmeida
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 226
- 46
- Thread starter
- #21
Wazee wa Mwanza wamekwishamzarau ndio maana ukiangalia picha zao walipokuwa wanamkalibisha hawakuwa wamevaa magwanda ya kijani kama walivyovaa wanafunzi!!
Halafu watoto walikuwa kibao na sungusungu wamesombwa kutoka maeneo mbali mbali ikiwemo wilaya ya bariadi mkoa mpya wa SIMIYU ili kueneza propaganda eti watu walikuwa wengi.. kazi kwelikwel.