Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,709
- 218,255
Tumesikia leo na siku zilizopita kwamba Walimu wa Mahali fulani wamechanga hela Taslimu kwa ajili ya kumchukulia fomu Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha CCM, Samia Suluhu ili agombee Urais 2025.
Sasa wale wataalam wa Sheria za Nchi tunawaomba Wajitokeze hapa kufafanua ikiwa jambo hili la hawa Watumishi wa serikali hiki walichofanya ni sahihi ama la.
Lengo la jambo hili zuri ni kuweka wazi ili Watumishi wengine kama Makuli wa Bandarini, Polisi na Wanajeshi ama watumishi wengine nao wamchangie hela za fomu Mgombea yeyote wa Chama chochote cha kisiasa wanachokitaka.
Naomba kuwasilisha.
Sasa wale wataalam wa Sheria za Nchi tunawaomba Wajitokeze hapa kufafanua ikiwa jambo hili la hawa Watumishi wa serikali hiki walichofanya ni sahihi ama la.
Lengo la jambo hili zuri ni kuweka wazi ili Watumishi wengine kama Makuli wa Bandarini, Polisi na Wanajeshi ama watumishi wengine nao wamchangie hela za fomu Mgombea yeyote wa Chama chochote cha kisiasa wanachokitaka.
Naomba kuwasilisha.