johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Nimesikia kupitia Al jazeera kwamba Palestine kwa ujumla ina uhaba mkubwa sana wa Madaktari na Wauguzi kwa sasa
Nashauri Waziri wa afya aongee na balozi wa Palestine tupeleke vijana wetu wakatoe huduma
Kukaa Hapa bongo Bila Ajira ni hatari kuliko kuajiriwa vitani
Ni hilo tu!
Nashauri Waziri wa afya aongee na balozi wa Palestine tupeleke vijana wetu wakatoe huduma
Kukaa Hapa bongo Bila Ajira ni hatari kuliko kuajiriwa vitani
Ni hilo tu!