Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia Dr.Kigwangala hana leseni ya udaktari ni mwanaharakati tu.
Sasa anataka kuchochea wenzake ili nao wanyang'anywe leseni au?
Dr. kigwangwala,suluhisho la matatizo sio migomo bali ni mazungumzo kwani hata wakigoma at the end wataishia kufanya mazungumzo so its easy and wise to skip the mgomo stage.
Huwa kuna ka-mchezo hapa Tanganyika...inawezekana kiongozi wa MAT anatafuta public attention baadae utamsikia huyo anagombea ubunge jimbo la Kigoma Kaskazini...hivi ili tufanyeje kumfahamu shujaa wakweli?