meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
wakuu kuna taarifa kuwa madaktari bingwa katika hospitali ya taifa muhimbili wameungana na madaktari wengine nchini na kuamua kuweka vifaa chini(tools down) nasubiri kupata tamko lao rasmi.
nasubiria source ila tupate ukweli mwenye taarifa rasmi atujuze.
Hacha uongo leta ushahidi:juggle:
Nenda India!dah afu naskia maumivu mitaa ya ini,sijui ndo inakuwaje na vifaa vishawekwa chini!!!
hata wale wa kuandika rufaa india wamegoma.Nenda India!
Jifunze kiswahili... Hacha = Acha?Hacha uongo leta ushahidi:juggle:
its tools down. We dont need to attend even emergencies. Sababu tuna serikali yenye kiburi basi tuonane nani aliyeshika mpini nanani aliyeshika makali.
Aluta continua, solidarity forever