Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo rasmi

Lilikuwa linafanya nini huko muda wote huu wakati sherehe zimeshaisha jana??

Alikuwa anashughulikia kero za wananchi wa mwanza tuwe na subira kama ya madaktari bingwa wanaogoma mwisho karibu suluhu inapatikana
 
tutakoma na serikali legelege híii kila siku jambo jipya na hakuna lenye kutatuliwa huko bungeni hali tete miswada ya bunge haipiti.dalili mbaya.


Wabunge wamekasirika Jk kusitasita kuongeza posho zao.....Jk wembe ni ule ule komaa hakuna posho.
 
Tumeshaongea sana kwamba jamaa hafai na ameshindwa kuongoza,sasa stage ya kumtoa pale magogoni ndio hii hapa,watu tuingie mitaani wote pomoja ma wafanyakazi wengine wa umma na sekta binafsi!life is almost imposible but we are still loughing,this should be th falling corner!
 
nadhani kesho bunge litaona umuhimu wa kujadili jambo hili kama emergency
 
Its tools down. We dont need to attend even emergencies. Sababu tuna serikali yenye kiburi basi tuonane nani aliyeshika mpini nanani aliyeshika makali.
Aluta Continua, solidarity forever

Huu ni ujinga kudhani kuwa unaweza kupambana na Serekali ukaishinda wewe... Najua mko busy kwenye hospitali zenu na vijiwe mlivyojishikiza part time sasa mnafanya full time... Mwanzoni niliwaunga mkono but mlipomkacha waziri Mkuu niliconclude kuwa mnatumia masaburi kufikiri na nimewadharau jumla.. Hamuwakomoi wale mnaolumbana nao bali baba na mama zenu shemeji na wajomba zenu wasiokuwa na uwezo wa kwenda private na Mungu atawaadhibu kwa kuwatelekeza watanzania ambao ninyi mmesoma kwa kodi zao.... Acheni ujinga rudini kazini kama serekali ipo tayari kwa mazungumzo ninyi kinachowapa kiburi nini!!?? Tumieni busara.
 
sasa mkuu kama ulikuwa SEWAHAJI na ukaona wagonjwa wamelala mlangoni si ungepiga hata picha kupitia simu? si unaelewa tena mimi tomaso bwana ni kama wachina wao husema picha huongea zaidi kuliko maneno
 
Nafikiri Rais hana nafasi tena hapo kwani tayari muhimili mwingine wa Bunge umesha ingilia suala hili. Kamati ya Mama Sitta ndiyo yenye nafasi kumaliza suala hili.

Tuombe heri itawale shari na suluhu ipatikane haraka kwa faida ya wote
Hivi alivyoamua kuwasamehe wale wezi wa EPA waliorudisha pesa alikuwa anaingilia muhimili gani vile? Acha kutetea upuuzi bana...rais ana mamlaka makubwa na anaweza kushinikiza mambo yanayohusu mustakabali wetu na yakafanyika kwa kasi inayotakiwa ila jamaa yetu huyu amebaki anakenua meno tu kwenye visherehe mbalimbali wakati wananchi maskini wanakufa...! bure kabisa...!
 
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ana uzito wake kuwepo nchini, Mbowe yuko USA badala ya kushughulikia mgomo wa madaktari kwa upande wa upinzani kapanda ndege na kuondoka. Viongozi wa nchi hii ni waajabu sana wanakimbia matatizo.

Huelewi unachokijadili Vasco Dagama aliondoka kwenda Davos wakati mgogoro bado mbichi kabisa.. Kama mkuu wa kaya walau angebaki nchini ili ufumbuzi upatikane, na doctors waendelee na kz,. Unawezaje kudai Mbowe kasafiri nje nyuma ameacha mgogoro yeye kama nani, kumbuka CDM kupitia Mnyika walikwisha toa tamko. Sasa sielewi unawezaje kuhusianisha safari ya Mbowe na mgomo. Mwambie JK atatue tatizo.
 
HIyo ndio gharama ya kua na mawaziri wasiojua hata umuhimu wa nafasi walizonazo.. kwa hotuba aliyoitoa huyo waziri wa afya pale bungeni ijumaa nilitegemea hili litokee... hotuba ilijaa dharau kwa madaktari na uongo wa karne... kumuongelea Ulimboka kwenye hotuba yote kama yeye ndio amegoma ni uendawazimu na ukosefu wa akili tena kwa mtu mnayesema ana PHD.. PHD my foot
 
by the time u got an accedent and got taken there ndo uatajua kinachosemwa,tuiombee hii nchi inayoongozwa na wagonjwa wa a..li
 
Jana kashindwa kusema chochote kuhusu madaktari kaongea siasa tu, huyu mtu kweli nchi imemshinda maana kuna vitu vya msingi anaviacha anakusanya watu wasio na viatu kuwalisha wali na nyama kirumba, matokeo yake wamewatelekeza mwanza bila kuwarudisha kwao. Jk nchi imekushinda just say that watu warudi kwenye drawing board

well said..watu turudi kwenye drawing board tuanxe mchakato upya...lakini kwa JK lazima tukubaliane kimsingi kuwa kashindwa kazi ..
 
sasa mkuu kama ulikuwa SEWAHAJI na ukaona wagonjwa wamelala mlangoni si ungepiga hata picha kupitia simu? si unaelewa tena mimi tomaso bwana ni kama wachina wao husema picha huongea zaidi kuliko maneno
picha zitaingilia usiri wa watu mkuu.kama wewe ni tomaso nenda muhimbili.ukiletewa picha utasema photoshop...
 
hali ni tete katika hospitali ya taifa muhimbil.hii imekuja baada ya madaktari bingwa kuanza mgomo wao leo mchana kama ishara ya kuishinikiza serikali kushughulikia madai yao na kupinga upotoshaji uliotolewa bungeni na waziri wa afya dr. Mponda.
Nimeongea na surgion mmoja baada ya kikao na akanihakikishia kuwa wamedhamiria kufanya kweli katika hili. Kitu cha kushsngaza hamna chombo cha habari hata vya binafsi vinavyodiriki kutangaza hali ya mgomo. Wodi zote mnh ni nyeupe kwani hamna wagonjwa. Ukiingia sewahaji utakutana na wagonjwa wachache walioumia kutokana na ajali wamelala chini mlangoni unapoingia tu. Hii ni hatari sana kwa nchi yetu.

ukombozi wa mtanzania kutoka mkoloni mwenye rangi nyeusi umekaribia
 
KWA TAARIFA NILIYONAYO..KULIKUWA NA KIKAO CHA MASPECIALIST ASUBUHI NA KIMEMALIZIKA KWA MAAZIMIO YA TOTAL TOOLS DOWN FROM EMD MPKA LABOUR WARD...HAYA PINDA NENDA TENA D'JUBILEE...MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU MFUNGUE MACHO RAIS AONE HAYA
nawasilisha
 
Tatizo hapa ni kuwa kila mmoja anataka aione Tanzania baada ya magamba kutolewa. Sasa nani alianzishe, nani ajitoe mhanga na nani ataweza kumlipua kiongozi mmoja mkubwa ili serikali ishtuke kuwa kumbe ndugu zetu wanafariki kutokana na kukosa huduma hospitali.
 
Niliwasha sema toka mwanzo, serikali kwa hili wamechemsha, hakuna atakayepona hapa, sasa sijui nini kinafuata.
 
Back
Top Bottom