Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 635
Kiukweli katika hili, serikali haiwezi kukwepa lawama. Nafikiria ikiwa raia mmoja au wawili wa kizungu wanapokuwa hijacked, let's say, na pirates. Serikali zao hutumia resources nyingi sana ktk kuhakikisha kuwa mtu/watu wao wanakombolewa wakiwa salama. Sasa nimejaribu kufikiria watu ambao wamepoteza maisha tangu mgomo ulipoanza, hatimaye nimeridhika kuwa hakuna haki chini ya jua.