KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Juzi nilikua naangalia kipindi cha TV.
Docta mmja alikuwa anaelezea jinsi anavyomtanua mgonjwa mwanamke kwa kuwaingizi vifaa maalumu na kupima kama atakuwa na magonjwa /saratani ya shingo ya kizazi au la.
Hawa madaktari eidha watakuwa wanafaidi sana au wanamioyo migumu.
Hii fani ndo ilikuwa ya kusomea aisee(the best job ever). Najuta.
Docta mmja alikuwa anaelezea jinsi anavyomtanua mgonjwa mwanamke kwa kuwaingizi vifaa maalumu na kupima kama atakuwa na magonjwa /saratani ya shingo ya kizazi au la.
Hawa madaktari eidha watakuwa wanafaidi sana au wanamioyo migumu.
Hii fani ndo ilikuwa ya kusomea aisee(the best job ever). Najuta.