Madai haya ya Zitto kama ni ya kweli, basi hii ni moja ya sababu kwanini sisi ni masikini na tutaendelea kuwa hivyo

Moja kasoro kubwa inayotumaliza Watanzania ni hii tabia ya wanasiasa kutudumuza kuwa kila kitu kifanywe ni (mwingine) na sio sisi wenyewe. Zitto is simply full of hot air. Yeye amefanya nini, amelima hata nusu eka ya mchikichiki? Anataka watu wa Kigoma WALETEWE WACHINA, WAARABAB, WAMERAKANI ETC kulima michikichiki? Kwanini asihamasiche watu wa Kigoma wakalima?
Uzuzu katika ubora wake. Kwa sera zipi zinazoeleweka hadi mtu ukubali kuingiza mamilioni yako kwenye kilimo cha nchi hii? Waulize waliolima mbaazi na mahindi.
 
Yeye kama kiongozi kuliko kulalamika tu.. angetoa na muongozo kwa wananchi wafanyaje au hata yeye awe mfano jimboni kwake..

Zaidi ni amenena ambayo mtu anaweza kukutana nayo au kusechi na kuyasoma..

Blah blah blah.. domo mbele muongozo sifuri.. shame
Kwani mpiga zumari ya viwanda yeye ashatoa mfano wa kuwa na kiwanda japo kimoja?
 
Kule upinzani ulikuwa huru kufanya shughuli zao hawakukamatwa, kuzuiwa kufanya shughuli zao, kupigwa mapanga, visu, marungu na bunduki. Kwa maneno mafupi upinzani ulikuwa huru kufanya kile ambacho upinzani hutakiwa kufanya.

Malaysia walikuja Bongo wakachukua Idea ya Ukawa wakaenda nayo kwao wakaunganisha vyama vyote bya Upinzani Na kukitoa Chama Tawala kilichodumu Kwa 60 years , inakuaje Ukawa walishindwa ku practise lakin wa Malysia waliweza?
 
Zitto amedai kuwa watu kutoka Malaysia walikuja nchini kwetu wakachukua mbegu za michikichi na kwenda kulima kwao na leo hii wanatuuzia sisi mafuta ya kula!l. Ajabu kabisa!

Niseme wazi tu tangu niliposikia kauli hii ya Zitto hakika inanipa shida sana pale ninapojaribu kuitafakari inatupa ujumbe gani sisi watanzania.

Tafsiri rahisi ya maneno haya ni kuwa, sisi kwa miaka mingi tumeshindwa kuwekeza katika kilimo ambacho kingezalisha malighafi kwa bidhaa za viwandani (processing industries) kisha tukazalisha bidhaa za viwandani ambazo zingetosheleza mahitaji yetu ya ndani na ziada tungeuza nje ya nchi na hivyo tungeingiza fedha nyingi za kigeni na hata shilingi yetu ingekuwa na thamani dhidi ya dollar na fedha nyingine za kigeni.

Najiuliza hivi sisi na Malaysia ni nani wenye ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo na yene mabonde na mito mingi inayofaa hata kwa kilimo cha umwagiliaji?

Hakika umaskini wetu ni wa kujitakia
Umasikini wetu unachangiwa na mipango yetu tunamakosa mengi sana sisi kwasasa tungehitaji kilimo cha umwagiliaji kilakona hata mapori ya akiba mfano mapori ya akiba mbuga za wanyama tunazo miaka nenda rudi lakini hali ningumu tuyachukue angalau kiasi tulime tunge achana na mambo ya anasa ya usafiri wa anga sijasikia kwenye kilimo tumewekeza thamani yapesa yenye kiwango cha kununu ndege 6 kwampigo siku tukifanya hivyo na tukiwekeza kwenye reli na barabara vizuri hii nchi Haita shikika tutapiga hatua kubwa watu wengi watakuwa na maisha mazuri kilimo kimeajiri watu wengi na wengine wataongezeka kuliko
 
Moja kasoro kubwa inayotumaliza Watanzania ni hii tabia ya wanasiasa kutudumuza kuwa kila kitu kifanywe ni (mwingine) na sio sisi wenyewe. Zitto is simply full of hot air. Yeye amefanya nini, amelima hata nusu eka ya mchikichiki? Anataka watu wa Kigoma WALETEWE WACHINA, WAARABAB, WAMERAKANI ETC kulima michikichiki? Kwanini asihamasiche watu wa Kigoma wakalima?
Hopeless. Badala ya kuchukua na kukichuja kwa maslahi mapana ya taifa unambeza kwa sababu ni [HASHTAG]#zitto[/HASHTAG]? Chukua ushauri acha critisism za kimpompompo
 
Shughuli zenyewe za kisiasa mmezipiga marufuku.Mkiwaona wanazunguka majimboni mara muwakamate au muwazuie sasa hata kama mtu ana nia hiyo kwa sasa ataweza kuifanikisha?

Hivi karibuni kafanya ziara katika kata zinazoongozwa na madiwani wa chama chake akawa mara wamkamate mara wamzuie mradi tu kumwakamisha.Sasa mnadhani tutaendelea kwa style hii?
Usibishane nao....
 
Zitto Mjinga tu kigoma mawese ndio wakulima wakubwa Tanzania lakini huyaoni madukani wala supermarket Tanzania singida na alizeti zao wamefght mafuta ya alizeti nchi nzima yapo huyu nusu kaputi kichwani anaongelea mafuta ya kupikia ya malyasia badala ya mawese ya kigoma anakotoka
Zungumza unacho kijuwa usiropoke kazi yake nikuishauri serekali na kuisimamia alizeti hailimwi singida tu mikoa mengi angalau 1/3 ya kilimo nialzeti ya mikoa yakilimo huwezi kufananisha na chikichi ni kigoma tu lakini alzeti kwakua inalimwa sehemu nyingi ndio sababu inaonekana imejitangaza sana mfano katavi na rukwa nasehemu nyingi tu
 
Kitu cha msingi pia kujiuliza ni kuw serikali ndo inatakiwa kufanya haya au watu wa nchi hii ndo wanatakiwa kufanya hivo huku gvt wao wakirahisisha availability ya market Na mambo mengine yahusuyo business etc
 
Yeye kama kiongozi kuliko kulalamika tu.. angetoa na muongozo kwa wananchi wafanyaje au hata yeye awe mfano jimboni kwake..

Zaidi ni amenena ambayo mtu anaweza kukutana nayo au kusechi na kuyasoma..

Blah blah blah.. domo mbele muongozo sifuri.. shame
Huko katika hizo nchi ni serikali inaweka mkono wake kwa wakulilma na kuwawezesha kwa kuwapa/kuwakopesha pembejeo na hata kutoa ruzuku kwa wakulima.Sisi huku hata milioni 50 za kila kijiji imebaki hadithi/ahadi hewa.
 
Shughuli zenyewe za kisiasa mmezipiga marufuku.Mkiwaona wanazunguka majimboni mara muwakamate au muwazuie sasa hata kama mtu ana nia hiyo kwa sasa ataweza kuifanikisha?

Hivi karibuni kafanya ziara katika kata zinazoongozwa na madiwani wa chama chake akawa mara wamkamate mara wamzuie mradi tu kumwakamisha.Sasa mnadhani tutaendelea kwa style hii?
Umeulizwa Yeye ana shamba LA mfano? Wewe unaleta siasa, hili nalo ni moja ya matatizo ya watz
 
Zitto amedai kuwa watu kutoka Malaysia walikuja nchini kwetu wakachukua mbegu za michikichi na kwenda kulima kwao na leo hii wanatuuzia sisi mafuta ya kula!l. Ajabu kabisa!

Niseme wazi tu tangu niliposikia kauli hii ya Zitto hakika inanipa shida sana pale ninapojaribu kuitafakari inatupa ujumbe gani sisi watanzania.

Tafsiri rahisi ya maneno haya ni kuwa, sisi kwa miaka mingi tumeshindwa kuwekeza katika kilimo ambacho kingezalisha malighafi kwa bidhaa za viwandani (processing industries) kisha tukazalisha bidhaa za viwandani ambazo zingetosheleza mahitaji yetu ya ndani na ziada tungeuza nje ya nchi na hivyo tungeingiza fedha nyingi za kigeni na hata shilingi yetu ingekuwa na thamani dhidi ya dollar na fedha nyingine za kigeni.

Najiuliza hivi sisi na Malaysia ni nani wenye ardhi kubwa inayofaa kwa kilimo na yene mabonde na mito mingi inayofaa hata kwa kilimo cha umwagiliaji?

Hakika umaskini wetu ni wa kujitakia
Vietnam wamechukua mbegu za samaki sato na korosho leo hii ni exporter wakubwa duniani.... Uliza sisi tunafanyake... Tuko busy kuweka makatokoto kwenye korosho... Na kula mapank
 
Zitto Mjinga tu kigoma mawese ndio wakulima wakubwa Tanzania lakini huyaoni madukani wala supermarket Tanzania singida na alizeti zao wamefght mafuta ya alizeti nchi nzima yapo huyu nusu kaputi kichwani anaongelea mafuta ya kupikia ya malyasia badala ya mawese ya kigoma anakotoka
Hujaeleweka, Je zito alichosema ni positive or negative?. Amesema bilioni 180 zahitajika kuweza kujitosheleza una maana kigoma wanaweza hilo?
 
Vietnam wamechukua mbegu za samaki sato na korosho leo hii ni exporter wakubwa duniani.... Uliza sisi tunafanyake... Tuko busy kuweka makatokoto kwenye korosho... Na kula mapank
Sisi ni bure kabisa! Hata kusoma kwetu hakuna tija yoyote ya maana kwa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom