Madagascar wapata dawa ya asili ya Corona

Madagascar wapata dawa ya asili ya Corona

Kwenye swala la Covid-19, kuna uwezekano mkubwa sana kua WHO wanahusika.

Kwanini wapinge dawa ambayo imepatikana? Kwanini wasisupport hiyo tiba ili iokoe ulimwengu kwa ujumla?
Acha kusaport Bro

Kwanini Wasiijaribu,kisha wakiona matunda na mfanikio,ndio waikubali.....!!!

Kwann wanapinga tu bila ya sababu za msingi?!

Tuwe macho sana na hawa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu heri wasifanyie uchunguzi ,wakienda maabara kuichunguza watakuja na result za kudanganya kwamba haifai kwa afya ,hawa wazungu sio kabisa
Ndo maana nasema nina mashaka na hao wazungu, Walishatuchukuliaje sijui?
Na ikiwezekana kabisa waichukue wakafamnyie uchunguzi wa hiyo Dawa zaidi sio lazima tuwasikilize wao tu.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Hivi hao wazungu baada ya kusikia Madagascar imepata dawa wameomba hata sample waende kuichunguza au wanapinga tu. Abuu Dharr,

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Umatangazaje kuwa ni tiba bila ya majaribio? Wangeacha papara, wapeleke japo kwa nchi 5 za Afrika, tuone ufanisi wake.

Sample wa wagonjwa 20 ni ndogo sana. Huwezi kuwa una uhakika wamesaudiwa na hiyo dawa au ni kinga ya miili yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu heri wasifanyie uchunguzi ,wakienda maabara kuichunguza watakuja na result za kudanganya kwamba haifai kwa afya ,hawa wazungu sio kabisa

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Ni kweli mkuu, hawa wanataka kupiga hela na kutufanyia ya kutufanyia humo humo.
 
Viva jiwe, piga kazi, hili janga ni ujinga tu wanatengeneza huko usa


pumbavu
 
Mkuu mbona hakuna sehemu Tedro au WHO wamesema dawa aiwezi kupatikana Afrika? Tuache ubaguzi na kujibagua bila sababu.TUJIFUKIZE
 
Back
Top Bottom