Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Hakuna ubaya. Tena wawezakuta both baba na mama wako JF kwa wakati huo mmoja.

Dahhh EMT...
Kuna kitu nilikiwaza siku za karibu...
Hapa JF na utani wetu wa hapa na pale
Baina ya member wa kike na wa kiume ..

I was just wondering hivi watu hapa hawatongozani na wenza wao kweli ? Itakuwa vipi waki pelekana PM halafu ukweli ufunuke?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mie sitaondoka hata pale itakapobidi.

Heri yako mkuu,mi kuna wakati nabanwa mno,kama kipindi kile nimeondoka yaani nilikuwa hata e-mail nashindwa kujibu,by the time nafika home,kichwa hakifai....ikabidi tu nikae pembeni....!! Ila kwa sasa,wataniona hadi wapasue laptop zao!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Huyo balaa buluu ..
Anabembeleza , anatekenya ,ananyonya ,
Kukumbatia kwa kwenda mbele... ...
Na anabembelezeka.. house girl kapona ..

Hhaahahha. . . bei gani vile?
Nataka mmoja kwaajili ya Gentleman.
 
Dahhh EMT...
Kuna kitu nilikiwaza siku za karibu...
Hapa JF na utani wetu wa hapa na pale
Baina ya member wa kike na wa kiume ..
I was just wondering hivi watu hapa hawatongozani na wenza wao kweli ? Itakuwa vipi waki pelekana PM halafu ukweli ufunuke?

Heri kumtongoza mwenza. Unaweza kujitetea. Vipi kumtongoza kaka au dada yako? Nina wasiwasi mkubwa Lizzy anaweza kuwa dada yangu.
 
Dahhh EMT...
Kuna kitu nilikiwaza siku za karibu...
Hapa JF na utani wetu wa hapa na pale
Baina ya member wa kike na wa kiume ..

I was just wondering hivi watu hapa hawatongozani na wenza wao kweli ? Itakuwa vipi waki pelekana PM halafu ukweli ufunuke?

Naisubiri hiyo siku kwa hamu....he he he,hata kama sipo JF,nipigie simu AD wangu!
 
Nakuona tu siku hizi na wewe umekuja na slogani kama ya Figanigga ya mia

Mie sitiani usiku natiana machana tu tena week ende peke yake

Hahahaha lol
We ndo umevunja kila kitu unatiana weekend tu. .. hahahaha lolz ..

Mi hiyo si wezi aise lolz ya weekend tu
 
Heri kumtongoza mwenza. Unaweza kujitetea. Vipi kumtongoza kaka au dada yako? Nina wasiwasi mkubwa Lizzy anaweza kuwa dada yangu.

Umebarikiwa, hata usije juta kumtongoza,she is a great woman.....!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Heri yako mkuu,mi kuna wakati nabanwa mno,kama kipindi kile nimeondoka yaani nilikuwa hata e-mail nashindwa kujibu,by the time nafika home,kichwa hakifai....ikabidi tu nikae pembeni....!! Ila kwa sasa,wataniona hadi wapasue laptop zao!!

We missed you. Kwa sasa computer yangu naitafutia protection just in case.
 
Hhaahahha. . . bei gani vile?
Nataka mmoja kwaajili ya Gentleman.

Huyu dahhh si gali kabisa $50,000.
..... hana ngoma na hawezi kupata mimba
I'm telling you she is worth it. .
 
Heri kumtongoza mwenza. Unaweza kujitetea. Vipi kumtongoza kaka au dada yako? Nina wasiwasi mkubwa Lizzy anaweza kuwa dada yangu.

Hahahaha. . . EMT wasiwasi wako unasababishwa na nini?
 
Heri kumtongoza mwenza. Unaweza kujitetea. Vipi kumtongoza kaka au dada yako? Nina wasiwasi mkubwa Lizzy anaweza kuwa dada yangu.

Duhhhhh hiyo naogopa hata kufikiria..
Napenda kukuhakikishia wewe na Lizzy Luu SI
Ndugu wa damu kabisa .. nimejuaje nyumbani tumezaliwa wasichana tu ..
 
Hahahaha lol
We ndo umevunja kila kitu unatiana weekend tu. .. hahahaha lolz ..

Mi hiyo si wezi aise lolz ya weekend tu

Ha ha ha huwezi wewe mwali wewe acha hizo bana
kuanzia sasa jifunze kutiana week end mchana utaona raha yake

BTW: Happy New Year ujue hatujaonana Endasak kwa shangazi
 
Huyu dahhh si gali kabisa $50,000.
..... hana ngoma na hawezi kupata mimba
I'm telling you she is worth it. .

Hahahaha. . . Mara nikirudi nikute kadata nae. Ntamuua huyo mdoli au ntamchoma?
 
Back
Top Bottom