Loh mbona naweza nikaacha kupumua kwa muda?Inabidi unitafutie kitu cha kufanya ili hofu na mashaka visikuzonge.
Poa kaka RESPECT acha tumalizane na da Lizzy.
Plssssssssssssss
Duhhhhh Doto ..
Eti Kuna kanuni Inayosema muda wa kutiana ni saa 7 au 8 za usiku.. ?
Duhhhhh Doto ..
Eti Kuna kanuni Inayosema muda wa kutiana ni saa 7 au 8 za usiku.. ?
Duhhhhh Doto ..
Eti Kuna kanuni Inayosema muda wa kutiana ni saa 7 au 8 za usiku.. ?
Nitakupeleka vekesheni Malawi.
Sijamaanisha hivyo, ila naona kama amefikiri nimemuanzishia yeye mpaka akatoa full time table yake ya life...! Nadhani niombe msamaha yaishe!
LOL. Halafu wewe mchokozi wa Mods eh?
Hahahaha. . . hunitakii mema wewe. Labda niache skinny jeans zangu, utaninunulia hijab?
Nikuombe msamaha nakujua? Usinchekeshe!!!
Nauliza tu ..
ukifanya mchana , asubuhi , au jioni haihesabiki? Lazima iwe usiku wa manane
Kwenye giza tororo na na blanket kwa juu ?
Duhhhhh Doto ..
Eti Kuna kanuni Inayosema muda wa kutiana ni saa 7 au 8 za usiku.. ?
Kwa wanaoishi na extended Family muda huo ndiyo muafaka... Lakini mara nyingi muda huo aidha wanaume wanakuwa wanaangalia mpira wa Ligi ya Spain (kama jana usiku kuamkia leo) au ndiyo wanarudi kutoka nyumba za wenyeji baada ya kupitia BAA!
Naona unakuja spidi!