EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Mamababu, wengine wako nje ya Tanzania na wakati wewe umelala wao ndio wameamka. Wengine ni watu wa usiku. Wengine kama mimi ni 24/7 highly addicted with JF.
Labda anadhani Tanzania kukiwa usiku basi dunia nzima nayo inakuwa usiku?